Machache usiyoyajua kuhusu mapacha

Ktk mtiririko wako nambari 06 umejistukia kuanDika "Nisiulizwe swali Hapa"...
Sijajua ni ugumu wa ulichoandika ama ni uoga tu?!!..
Walizaliwa mapacha wakatengenishwa na kuishi sehemu tofauti kwa Kuasiliwa,walipooana ndipo wakajajua baadaye kwamba wao ni ndugu
Kwenye kuoana ilikua ni km COINCIDENCE TU,hakuna aliyejua kwa Hakika kama kuna undugu Baina yao,sema ni kitu cha kawaida kwa watu kutaka kujua HISTORIA za wenzi wao kuanzia maisha ya utoto mpk ktk umri wa kujitambua,hvyo ikawa Rahisi kwa wao kutambua NI NDUGU
 
mapacha wana harufu moja
 
naona umeiweka vizuri zaidi na naichukua hii kwa kuweka kumbukumbu sawa niseme tena asante sana
 
HAPO nisiulizwe nilijua maswali yatakua mengi kama vile iwapo walishajamiaaaaaaaaaaaanaaaa.....
 
HAPO nisiulizwe nilijua maswali yatakua mengi kama vile iwapo walishajamiaaaaaaaaaaaanaaaa.....
Mimi nauliza tu japo uliweka angalizo.
Walikuwa wamejamiiana? Pia watu wa namna hii endapo watapeana ujauzito huyo mtoto atazaliwa wa namna gani?
 

huu ndiyo utamu wa jf elimu kedekede,asante mkuu umeniongezea ufahamu katika jambo hili
 
Hivi kuna njia yyt ya kitaalam ya kupata mapacha? Napenda sana
 
Sijui na wamasai nao... Wanazaaga mapacha... [emoji45][emoji45][emoji45][emoji45]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…