Machache yaliyoonekana Simba ikiibuka na ushindi mnono dhidi ya Kagera sugar

Machache yaliyoonekana Simba ikiibuka na ushindi mnono dhidi ya Kagera sugar

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
1. Hii ni moja kati ya mechi bora kushuhudiwa katika ligi ya NBC msimu huu, Simba wamecheza vizuri na Kagera wamecheza vizuri pia.

2. Elie Mpanzu ni mtu, kama asipofanyiwa mambo ya kiswahili atatupa burudani tamu wapenda soka.

3. Fabrice Luamba Ngoma amezaliwa upya, yule aliyekua akicheza Raja Casablanca amerejea tena.

4. Che Fondor Malone hana mbadala Simba, Chamou ni mzito na ndio sababu ya Simba kuruhusu magoli mawili leo.

5. Kocha aangalie namna nzuri ya kumfanyia sub Debora Fernandez, Sub zake zitaigharimu timu, angalia Simba walivomilikiwa katikati baada ya yeye kutolewa.

6. Naendelea kutofautiana na wengi kuhusu Joshua Mutale 'budo' huyu anapitia kipindi kigumu ambacho ni kawaida kwenye kazi yoyote, sio mchezaji mbaya na hapaswi kuachwa.

7.Simba iliyocheza kipindi cha kwanza ikiongezewa vitu kidogo itatwaa kombe la Shirikisho.
 
1. Hii ni moja kati ya mechi bora kushuhudiwa katika ligi ya NBC msimu huu, Simba wamecheza vizuri na Kagera wamecheza vizuri pia.

2. Elie Mpanzu ni mtu, kama asipofanyiwa mambo ya kiswahili atatupa burudani tamu wapenda soka.

3. Fabrice Luamba Ngoma amezaliwa upya, yule aliyekua akicheza Raja Casablanca amerejea tena.

4. Che Fondor Malone hana mbadala Simba, Chamou ni mzito na ndio sababu ya Simba kuruhusu magoli mawili leo.

5. Kocha aangalie namna nzuri ya kumfanyia sub Debora Fernandez, Sub zake zitaigharimu timu, angalia Simba walivomilikiwa katikati baada ya yeye kutolewa.

6. Naendelea kutofautiana na wengi kuhusu Joshua Mutale 'budo' huyu anapitia kipindi kigumu ambacho ni kawaida kwenye kazi yoyote, sio mchezaji mbaya na hapaswi kuachwa.

7.Simba iliyocheza kipindi cha kwanza ikiongezewa vitu kidogo itatwaa kombe la Shirikisho.
Hii ni moja kati ya mechi bora kushuhudiwa katika ligi ya NBC msimu huu, Simba wamecheza vizuri na Kagera wamecheza vizuri pia.
 
1. Hii ni moja kati ya mechi bora kushuhudiwa katika ligi ya NBC msimu huu, Simba wamecheza vizuri na Kagera wamecheza vizuri pia.

2. Elie Mpanzu ni mtu, kama asipofanyiwa mambo ya kiswahili atatupa burudani tamu wapenda soka.

3. Fabrice Luamba Ngoma amezaliwa upya, yule aliyekua akicheza Raja Casablanca amerejea tena.

4. Che Fondor Malone hana mbadala Simba, Chamou ni mzito na ndio sababu ya Simba kuruhusu magoli mawili leo.

5. Kocha aangalie namna nzuri ya kumfanyia sub Debora Fernandez, Sub zake zitaigharimu timu, angalia Simba walivomilikiwa katikati baada ya yeye kutolewa.

6. Naendelea kutofautiana na wengi kuhusu Joshua Mutale 'budo' huyu anapitia kipindi kigumu ambacho ni kawaida kwenye kazi yoyote, sio mchezaji mbaya na hapaswi kuachwa.

7.Simba iliyocheza kipindi cha kwanza ikiongezewa vitu kidogo itatwaa kombe la Shirikisho.
Che Fondor Malone hana mbadala Simba, Chamou ni mzito na ndio sababu ya Simba kuruhusu magoli mawili leo.
Ni moja sio mawili
 
1. Hii ni moja kati ya mechi bora kushuhudiwa katika ligi ya NBC msimu huu, Simba wamecheza vizuri na Kagera wamecheza vizuri pia.

2. Elie Mpanzu ni mtu, kama asipofanyiwa mambo ya kiswahili atatupa burudani tamu wapenda soka.

3. Fabrice Luamba Ngoma amezaliwa upya, yule aliyekua akicheza Raja Casablanca amerejea tena.

4. Che Fondor Malone hana mbadala Simba, Chamou ni mzito na ndio sababu ya Simba kuruhusu magoli mawili leo.

5. Kocha aangalie namna nzuri ya kumfanyia sub Debora Fernandez, Sub zake zitaigharimu timu, angalia Simba walivomilikiwa katikati baada ya yeye kutolewa.

6. Naendelea kutofautiana na wengi kuhusu Joshua Mutale 'budo' huyu anapitia kipindi kigumu ambacho ni kawaida kwenye kazi yoyote, sio mchezaji mbaya na hapaswi kuachwa.

7.Simba iliyocheza kipindi cha kwanza ikiongezewa vitu kidogo itatwaa kombe la Shirikisho.
Mkuu unalo jicho la kimpira.
Kuna mashabiki wa Simba hupiga kelele kubusu Joshua lakini ni mchezaji wa muhimu sana anayepitia tu kipindi kigumu.
Ni kama walivyompigia kelele Kibu kipindi fulani lakini aliwa prove wrong

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Namba 4 nakukatalia, makosa ni ya kocha wetu, huwa anaridhika mapema hata ushindi wa goli moja na sub alizotoa ni kwa ajili ya kujilinda na akiendelea na mtindo huu hatuvuki makundi.
Huyu kocha ni muoga mno

Ila hatuwezi kumhukumu kwenye hii mechi kwa sababu amefanya sub timu ikiwa na mtaji wa goli nyingi. Shida ipo kwa wachezaji waliofanyiwa. Substitution ni wawili tu walioonesha positive impact, Chasambi na kagoma.
 
Mkuu unalo jicho la kimpira.
Kuna mashabiki wa Simba hupiga kelele kubusu Joshua lakini ni mchezaji wa muhimu sana anayepitia tu kipindi kigumu.
Ni kama walivyompigia kelele Kibu kipindi fulani lakini aliwa prove wrong

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mutale ni mzuri
Viongozi na kocha inatakiwa wampe ushirikiano mkubwa kipindi hiki, naamini atarudi mchezoni na tutaanza kumuomba msamaha kama ilivyokua kwa Ayoub Lakred.
 
Mutale ni mzuri
Viongozi na kocha inatakiwa wampe ushirikiano mkubwa kipindi hiki, naamini atarudi mchezoni na tutaanza kumuomba msamaha kama ilivyokua kwa Ayoub Lakred.
Mutale usimtetee kwa chochote bwana pale akuna mchezaji mwenye hadhi ya kuichezea Simba mambo mengine tuwe tunafatilia rekodi za awa wachezaji,,uyu mutale tokea Yuko kwao Zambia kwenye timu aliyotoka uchezaji wake ni ule ule ajawai kubadilika,,kama mnasubilia abadilike mtasubili sana,,uyu mutale Azam ndio ilikuwa klabu ya kwanza kumtaka kumsajili kabla Simba aijaanza harakati zake za kumsajili lakini unajua kwanini waliachana nae? Waliachana nae baada ya kushauriwa na kuambiwa ni mchezaji wa kawaida na wachezaji kama yeye ata hapa bongo wapo,,sasa Simba waliingia cha kike na kumpa promo isiyoendana na ubora wake matokeo yake mashabiki wanamkandia lakini viongozi wao ndio waliwaingiza chaka
 
Mutale usimtetee kwa chochote bwana pale akuna mchezaji mwenye hadhi ya kuichezea Simba mambo mengine tuwe tunafatilia rekodi za awa wachezaji,,uyu mutale tokea Yuko kwao Zambia kwenye timu aliyotoka uchezaji wake ni ule ule ajawai kubadilika,,kama mnasubilia abadilike mtasubili sana,,uyu mutale Azam ndio ilikuwa klabu ya kwanza kumtaka kumsajili kabla Simba aijaanza harakati zake za kumsajili lakini unajua kwanini waliachana nae? Waliachana nae baada ya kushauriwa na kuambiwa ni mchezaji wa kawaida na wachezaji kama yeye ata hapa bongo wapo,,sasa Simba waliingia cha kike na kumpa promo isiyoendana na ubora wake matokeo yake mashabiki wanamkandia lakini viongozi wao ndio waliwaingiza chaka
apewe muda
Kwani kuna ubaya gani akipewa muda?
Tulimuacha mchezaji mzuri Essomba Onana kwa sababu ya maneno kama haya
Unakumbuka nini kilitokea baada ya Pape Sakho kupewa muda?
Mashabiki tupunguze kelele huwa tunawafanya viongozi wafanye maamuzi ya ajabu.
Hakuna mchezaji aliniuma pale Simba kama Dunkani Nyoni.
 
apewe muda
Kwani kuna ubaya gani akipewa muda?
Tulimuacha mchezaji mzuri Essomba Onana kwa sababu ya maneno kama haya
Unakumbuka nini kilitokea baada ya Pape Sakho kupewa muda?
Mashabiki tupunguze kelele huwa tunawafanya viongozi wafanye maamuzi ya ajabu.
Hakuna mchezaji aliniuma pale Simba kama Dunkani Nyoni.
Hakuna neno lolote zuri unalo weza kusema likamtetea mutale, Mutale ni mchezaji wa kawaida sana maana hata huko nyuma aliko toka hana rekodi zezote zinazo mbeba kiasi cha kumshawishi mtu kumpa muda, na kumuwekea matumaini ya yeye kubadilika.
Kiufupi anacho cheza kwa sasa ndo kiwango chake halisi tuache kudanganyana.

Alafu mutale umri umesha mtupa mkono japo kuwa ana tundanganya kuwa ana miaka ishilini na kitu lakini kwa kumuangalia Mutale umri wake si chini ya miaka 32.
Mfano Ahua akifanya vibaya unaweza kumuwekea matumaini kuwa ni kipindi kina pita kutokana na rekodi zake za nyuma.
Sakho tangu aje Simba hakuwahi kushuka kiwango bali mechi za mwanzo mwanzo ali pata majeraha yaliyo pelekea kutokucheza kwa muda mrefu ndo maana viongozi wa timu walikuwa wana panga kumuacha.
Mutale ni mchezaji wa kigeni hivyo ni hasara kumgangania hali ya kuwa hana mchango wowote kwenye timu.
 
Mutale usimtetee kwa chochote bwana pale akuna mchezaji mwenye hadhi ya kuichezea Simba mambo mengine tuwe tunafatilia rekodi za awa wachezaji,,uyu mutale tokea Yuko kwao Zambia kwenye timu aliyotoka uchezaji wake ni ule ule ajawai kubadilika,,kama mnasubilia abadilike mtasubili sana,,uyu mutale Azam ndio ilikuwa klabu ya kwanza kumtaka kumsajili kabla Simba aijaanza harakati zake za kumsajili lakini unajua kwanini waliachana nae? Waliachana nae baada ya kushauriwa na kuambiwa ni mchezaji wa kawaida na wachezaji kama yeye ata hapa bongo wapo,,sasa Simba waliingia cha kike na kumpa promo isiyoendana na ubora wake matokeo yake mashabiki wanamkandia lakini viongozi wao ndio waliwaingiza chaka
Achana na mambo ya azam kwasababu huyo waliyemsajili je anamzidi muntale.mimi macho yangu yananiambia ni mchezaji mzuri ni utulivu tu unamsumbua nahiyo ni kawaida.kila mtu anapitia kipindi kibaya kazini kwake.Mengine tuwaachie waliomsajili kwasababu sisi wabongo kila mchezaji anakasoro kwa mashabiki.
 
Kuliko Kua na Mutale ni kheri tungebaki na Luis jose Miqusone au Onana.

Sub ya Deborah nilikua lazima afanyiwe... Sema ilitakiwa aingie Okajepher sio mzamiru..

Kuhusu Che Malone ni beki mzuri ila hata huyu wa leo ni mzuri ana utulivu na pass nzuri za kupandisha Timu.

Sema yeye ni pure no 5 sio 4.

Just imagine mechi hii amecheza pacha na Hamza harafu wote wana sifa ya Kucheza no 5!!!

Che hana mbadala kwa sababu simba hakuna no 4 tena.

Hao waliocheza mechi ya kagera wote ni 5
 
apewe muda
Kwani kuna ubaya gani akipewa muda?
Tulimuacha mchezaji mzuri Essomba Onana kwa sababu ya maneno kama haya
Unakumbuka nini kilitokea baada ya Pape Sakho kupewa muda?
Mashabiki tupunguze kelele huwa tunawafanya viongozi wafanye maamuzi ya ajabu.
Hakuna mchezaji aliniuma pale Simba kama Dunkani Nyoni.
Hakuna mchezaji male hata ukimpa huo muda..rekodi zake hata huko Zambia NI za kawaida sana
 
1. Hii ni moja kati ya mechi bora kushuhudiwa katika ligi ya NBC msimu huu, Simba wamecheza vizuri na Kagera wamecheza vizuri pia.

2. Elie Mpanzu ni mtu, kama asipofanyiwa mambo ya kiswahili atatupa burudani tamu wapenda soka.

3. Fabrice Luamba Ngoma amezaliwa upya, yule aliyekua akicheza Raja Casablanca amerejea tena.

4. Che Fondor Malone hana mbadala Simba, Chamou ni mzito na ndio sababu ya Simba kuruhusu magoli mawili leo.

5. Kocha aangalie namna nzuri ya kumfanyia sub Debora Fernandez, Sub zake zitaigharimu timu, angalia Simba walivomilikiwa katikati baada ya yeye kutolewa.

6. Naendelea kutofautiana na wengi kuhusu Joshua Mutale 'budo' huyu anapitia kipindi kigumu ambacho ni kawaida kwenye kazi yoyote, sio mchezaji mbaya na hapaswi kuachwa.

7.Simba iliyocheza kipindi cha kwanza ikiongezewa vitu kidogo itatwaa kombe la Shirikisho.
Kinacho nishangaza, wakizingua huwa mnakuja na uchambuzi unaokuja na mahitimisho ya kutaka wote waliosifiwa hapa waondolewe.
 
Back
Top Bottom