kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
1.Simba imecheza vizuri sana mpaka ilipokuja kuvurugwa na kocha dakika ya 76.
2. Elie Mpanzu aongezewe muda wa kucheza ni mashine ya boli.
3. Simba ni imara zaidi golini na inabebwa na mlinda mlango wake Mousa Camara, hili eneo litaifikisha mbali Simba.
4. Kuna namna lionel ateba anaanza kukosa u serious, niliwahi kusema apunguze uzito.
5.Fadlu David ni bonge la kocha ila inatakiwa asaidiwe namna nzuri ya kufanya substitution.
6. Refarii wa leo ni kielelezo tosha cha namna mtu mweusi alivyo.
Pointi tisa kileleni
2. Elie Mpanzu aongezewe muda wa kucheza ni mashine ya boli.
3. Simba ni imara zaidi golini na inabebwa na mlinda mlango wake Mousa Camara, hili eneo litaifikisha mbali Simba.
4. Kuna namna lionel ateba anaanza kukosa u serious, niliwahi kusema apunguze uzito.
5.Fadlu David ni bonge la kocha ila inatakiwa asaidiwe namna nzuri ya kufanya substitution.
6. Refarii wa leo ni kielelezo tosha cha namna mtu mweusi alivyo.
Pointi tisa kileleni