Machache yaliyoonekana Simba SC ikiibuka na ushindi dhidi ya Kengold

Machache yaliyoonekana Simba SC ikiibuka na ushindi dhidi ya Kengold

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
1. Simba imecheza vizuri mno/kikubwa kipindi cha kwanza. Kongole kwa Awesu Awesu, Muzamiru yassin, Fabrice Ngoma, Kelvin Kijili na Ladark Chasambi.

2. Sub ya Okejepha, Ahoua na Mutale imeharibu mpira wa Simba kipindi cha pili.

3. Jean Charles Ahoua haitendei haki nafasi anayocheza, simba inapata ugumu wa kutengeneza nafasi anapokuwepo uwanjani napendekeza apangiwe majukumu mengine ila sio kuachwa.

4. Wachezaji wazawa Yusuph Kagoma, Muzamiru, Kijili, Chasambi, na Awesu wamecheza kikubwa mno leo

5. Pressure ya hatrick imemtoa mchezoni Leonel Atteba akawa anakosa nafasi za wazi, ushauri - apunguze pressure na papara kwa ukubwa wake haendani na hizo pressure.

6. Kama kuna kosa Simba watalifanya kipindi hiki ni kusikiliza kelele za watu mitandaoni na kumuacha Joshua Mutale, ushauri-avumiliwe mpaka dirisha kubwa, naamini bado ni mchezaji mzuri.

7. Kibu Denis ni mchezaji asietabirika, leo atakufurahisha kesho utamkataa.

8. Nimemkubali na ninaendelea kumkubali Fadlu Davis kwa rotation anayoifanya.

Hongera kwa point tatu na ushindi mwingine.
 
Mutale ana kipara halafu akawadanganya makolo eti ana miaka 23

Awesu, Ateba, Nouma, Chamou, Chasambi ni wachezaji wazuri mno

Sijawahi kumwelewa Che maloni

Auohor ni mchezaji mzuri sema ulevi na hajitunzi kama professional footballer, hana fitness

Mtani timu inaimarika taratibu

NB: Ken Gold anashika mikia kwenye msimamo wa ligi kuu
 
Mutale ana kipara halafu akawadanganya makolo eti ana miaka 23

Awesu, Ateba, Nouma, Chamou, Chasambi ni wachezaji wazuri mno

Sijawahi kumwelewa Che maloni

Auohor ni mchezaji mzuri sema ulevi na hajitunzi kama professional footballer, hana fitness

Mtani timu inaimarika taratibu

NB: Ken Gold anashika mikia kwenye msimamo wa ligi kuu
Duh saa mbovu inasoma majira kwa usahihi!
 
1. Simba imecheza vizuri mno/kikubwa kipindi cha kwanza. Kongole kwa Awesu Awesu, Muzamiru yassin, Fabrice Ngoma, Kelvin Kijili na Ladark Chasambi.

2. Sub ya Okejepha, Ahoua na Mutale imeharibu mpira wa Simba kipindi cha pili.

3. Jean Charles Ahoua haitendei haki nafasi anayocheza, simba inapata ugumu wa kutengeneza nafasi anapokuwepo uwanjani napendekeza apangiwe majukumu mengine ila sio kuachwa.

4. Wachezaji wazawa Yusuph Kagoma, Muzamiru, Kijili, Chasambi, na Awesu wamecheza kikubwa mno leo

5. Pressure ya hatrick imemtoa mchezoni Leonel Atteba akawa anakosa nafasi za wazi, ushauri - apunguze pressure na papara kwa ukubwa wake haendani na hizo pressure.

6. Kama kuna kosa Simba watalifanya kipindi hiki ni kusikiliza kelele za watu mitandaoni na kumuacha Joshua Mutale, ushauri-avumiliwe mpaka dirisha kubwa, naamini bado ni mchezaji mzuri.

7. Kibu Denis ni mchezaji asietabirika, leo atakufurahisha kesho utamkataa.

8. Nimemkubali na ninaendelea kumkubali Fadlu Davis kwa rotation anayoifanya.

Hongera kwa point tatu na ushindi mwingine.
Mtu anieleshe ile butua aliyofanya Ahoua ilikuwa na maana gani dakika zile za mwisho? Kile kitendo kinatosha kumkalisha benchi hadi February. Leo kacheza kama vile hataki kucheza.

Mutale akibaki dirisha dogo nitasikitika sana.
 
Mzamiru alikosa utulivu, Ahoua na Mutale wavivu kukaba, Kagoma hakuwa na siku nzuri.
Kocha asilazimishe kuwa mchezaji fulani lazima acheze, Kibu alionyesha wazi amechoka dakika za mwisho lakini kocha alitaka acheze Hadi mwisho wakati Kijili bado anarudia makosa yaleyake.
 
Mutale ana kipara halafu akawadanganya makolo eti ana miaka 23

Awesu, Ateba, Nouma, Chamou, Chasambi ni wachezaji wazuri mno

Sijawahi kumwelewa Che maloni

Auohor ni mchezaji mzuri sema ulevi na hajitunzi kama professional footballer, hana fitness

Mtani timu inaimarika taratibu

NB: Ken Gold anashika mikia kwenye msimamo wa ligi kuu
Hebu tupangie kikosi cha kesho cha Yanga mzee wachezaji wetu unawachulia.
 
Kwenye hizo Kongole zako mtoe Mzamiru
Kuna watu natofautiana nanyi sana kuhusiana na Mzamiru ila naamuaga kukausha tu. Kwangu Mzamiru ni chaguo solid sana la 2 au la 3 eneo la kiungo. Ni nadra saaana kukuta ana mechi mbovu wakati kina Mutale hawajawahi kuwa na siku nzuri toka waje Simba. Hata Fernandez amepata mechi kadhaa mbovu msimu huu ikiwemo ile dhidi ya
 
Kuna watu natofautiana nanyi sana kuhusiana na Mzamiru ila naamuaga kukausha tu. Kwangu Mzamiru ni chaguo solid sana la 2 au la 3 eneo la kiungo. Ni nadra saaana kukuta ana mechi mbovu wakati kina Mutale hawajawahi kuwa na siku nzuri toka waje Simba. Hata Fernandez amepata mechi kadhaa mbovu msimu huu ikiwemo ile dhidi ya
Mzamiru ni kitasa hasa
Nakumbuka alivyo tusuprise msimu ulioisha Juma Mgunda alipojaribu kumtumia kama no 10 game 2 za mwisho
 
Back
Top Bottom