Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SadWaingie front wanasubiri nini hata wale walionyongwa hawakustaihili wangeenda front
Sio dalili nzuri hiyo jeshi litakuwa kwenye panic zaidi badala ya kuwa kwenye utulivu ili lilinde nchi.Amani iwe kwenu watu wa MUNGU
Huko kinshansa kimenuka
Ubalozi wa Uganda na Ufaransa wachomwa moto na vijana wenye hasira kali
Wanalilaumu JESHI lao kuiacha Goma mikononi mwa M23
LONDON BOY
View attachment 3216574
Ameitwa Nairobi kwenda kwenye maongezi nadhani sasa ataelewa kiwa huo mgogoro unatakiwa Dialogue nguvu za kijeshi zimeshindwa.Yeye yuko dar es salaam
Daah bora agewe mgodi kwa taifa ambalo litamuhakikishia usalama!! Hii ni aibu sasaMcongo na pesa zote izo kushindwa kuwashusha wagner ana komaa na wanajeshi Njaa wa ki Africa na toothless UN