Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Leopordville cityAmani iwe kwenu watu wa MUNGU
Huko kinshansa kimenuka
Ubalozi wa Uganda na Ufaransa wachomwa moto na vijana wenye hasira kali
Wanalilaumu JESHI lao kuiacha Goma mikononi mwa M23
LONDON BOY
View attachment 3216574
Tupeleke wale wa kwetu Chini ya Kamanda wetu Makini MuliroMbona Polisi wa kuzuia Ghasia wanaangalia tu au wamepewa amri ya kutoingilia?!
Wana heshima sanaMbona Polisi wa kuzuia Ghasia wanaangalia tu au wamepewa amri ya kutoingilia?!
Tika koloba mabee Papa nabangoAisee Gen Z Batu ba Congo wamekiwasha!
Huyo anawaweza chadema tu.Tupeleke wale wa kwetu Chini ya Kamanda wetu Makini Muliro
We dogo unapenda sana vita kutoka gaza sahv umeamia hukuAmani iwe kwenu watu wa MUNGU
Huko kinshansa kimenuka
Ubalozi wa Uganda na Ufaransa wachomwa moto na vijana wenye hasira kali
Wanalilaumu JESHI lao kuiacha Goma mikononi mwa M23
LONDON BOY
View attachment 3216574
Wazuie nn?.Mbona Polisi wa kuzuia Ghasia wanaangalia tu au wamepewa amri ya kutoingilia?!
Kuzuia Waandamanaji kuharibu Property.Wazuie nn?.
Ilikuwa hivyoKwanini wasishambulie ubalozi wa Rwanda ambao naamini ndio adui yao mkuu?
Wanaharibu property za nchi gani?.Kuzuia Waandamanaji kuharibu Property.
Umezoea policcmMbona Polisi wa kuzuia Ghasia wanaangalia tu au wamepewa amri ya kutoingilia?!