Machakos man finds robbers who stole his Sh390,000 manning police desk

Machakos man finds robbers who stole his Sh390,000 manning police desk

Huwezi kumuelewa mkikuyu kwa maana anawanyorosh mpaka mnapoteana
Tupe maoni yako kuhusu hawa polisi wanyanyasaji. Au wewe unaona ni freshi tu? Usipumbazwe bure na haya ya Jubilee na NASA. Unachokiona hapa sio malumbano ni peace handshake, Kenyan style! 🙂 Mwisho wa siku tunasonga mbele bila wasi wasi.
 
😀😀😀 Peoples 'Assambly' as you call it was dead on arrival. You guys are idle. Implementing things that Raila told you but which he himself ended up abandoning. Ngonjeni Miguna Miguna arudi kutoka likizo. As of now Raila is the only man in the now dead NASA with real cahones. [emoji23][emoji23][emoji23]
Thriving in Bitterness and division with your miguna miguna, sisi twasonga mbele with our idleness lead by 2 idle people uhuru & Raila 😀
 
Thriving in Bitterness and division with your miguna miguna, sisi twasonga mbele with our idleness lead by 2 idle people uhuru & Raila 😀
😎 Songeni mbele hadi Somalia. Umezoea kuongea pumba leo naona sindano imegonga kwenye mfupa. Uhuru na Raila wataendelea kuunganisha wakenya mpende msipende. Tafuteni mtu mwingine wa kuapisha. [emoji23]
 
How do you live in such bitterness? Hahaha 😀
Relax, its over. I was just giving you a taste of your own medicine. You can go on with your nonsense now. Off you go! Though I think.....
bucket
😀😀😀
 
Fake news or shitty journalism. Time wizi kutekelezwa hatujaambiwa ilikuwa ni saa ngapi na pia wakati wa tukio kuripotiwa pia hamna ili tuweze kujua vipi hapo maafisa waliweza kutekeleza uovu huo on or off duty and still manage to be at the station to book the same offence.... hapa uongo unadhihirika.
Kwani wewe ni mwanasheria hadi uambiwe yote hayo? au ni Mplelezi wa makosa hayo? au unahusika kwa nman moja au nyingine. Map*mbu yako
 
Huwezi kumuelewa mkikuyu kwa maana anawanyorosh mpaka mnapoteana
Wacha nami niwanyoroshe kama Mfipa

Rais Magufuli amesema hayo leo April 27, 2018 wakati akifungua barabara ya lami kutoka Dodoma hadi Babati, Manyara yenye urefu wa kilometa 251 ambayo imegharimu Tsh. Bilioni 378.
“Siwezi kuhangaika kutafuta fedha za kujenga barabara, kununua ndege, viwanja, alafu bado nitafute na fedha za kuwanunulia chakula cha bure. Nasema, hakuna chakula cha bure, ambaye hatalima, atakufa njaa,”
“Mvua imeenyeesha miezi yote halafu ije itokee mwezi wa ngapi mseme tunaomba chakula kuna njaa tutakufa nitasema tu kufa. Nawaambia Watanzania wote kuanzia Kongwa mpaka Chato hakuna chakula kitakachogaiwa mwaka huu,” amesisitiza.
 
Kwani wewe ni mwanasheria hadi uambiwe yote hayo? au ni Mplelezi wa makosa hayo? au unahusika kwa nman moja au nyingine. Map*mbu yako
Ni haki yangu kujua na kuuliza sitaki kudanganywa kama Wadanganyika.
 
Wacha nami niwanyoroshe kama Mfipa

Rais Magufuli amesema hayo leo April 27, 2018 wakati akifungua barabara ya lami kutoka Dodoma hadi Babati, Manyara yenye urefu wa kilometa 251 ambayo imegharimu Tsh. Bilioni 378.
“Siwezi kuhangaika kutafuta fedha za kujenga barabara, kununua ndege, viwanja, alafu bado nitafute na fedha za kuwanunulia chakula cha bure. Nasema, hakuna chakula cha bure, ambaye hatalima, atakufa njaa,”
“Mvua imeenyeesha miezi yote halafu ije itokee mwezi wa ngapi mseme tunaomba chakula kuna njaa tutakufa nitasema tu kufa. Nawaambia Watanzania wote kuanzia Kongwa mpaka Chato hakuna chakula kitakachogaiwa mwaka huu,” amesisitiza.
What's the context of your post
 
Back
Top Bottom