kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Akili za aina hii halafu mnategemea nchi ipate maendeleo? Yaani hapa Napo Mtu kaona ameandika point na kuna watu watakuja kumuunga mkono.Ingia You tube Mcheki mtu anayekwenda kwa Jina La Charlie Champlin utacheka saana , huyu jamaa ukimtafakari Vituko vyake kama HAMNAZO hivi..!
Sasa Timu ya Wenye akili kama huyu jamaa inakipiga kwa Mkapa na Wasomali baada ya kutoka Airport kuwapokea Wapinzani Wa Simba KIMATAIFA.
Sasa hili ni angalizo,Game La Kimataifa Likishamalizika Wasiache Kwenda Airport tena kuwasindikiza Wageni Wao...!
Ama hakika Msukule haukuwa unatania pale uliposema Wote kule ni HAMNAZO isipokuwa. JK na Sunday Manara..!
Ni ujinga mtupu mkuu wao si wafanye yao,lakini ukiona mtu anakuongelea sana jua analakujifunza kwako.Akili za aina hii halafu mnategemea nchi ipate maendeleo? Yaani hapa Napo Mtu kaona ameandika point na kuna watu watakuja kumuunga mkono.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Ingia You tube Mcheki mtu anayekwenda kwa Jina La Charlie Champlin utacheka saana , huyu jamaa ukimtafakari Vituko vyake kama HAMNAZO hivi..!
Sasa Timu ya Wenye akili kama huyu jamaa inakipiga kwa Mkapa na Wasomali baada ya kutoka Airport kuwapokea Wapinzani Wa Simba KIMATAIFA.
Sasa hili ni angalizo,Game La Kimataifa Likishamalizika Wasiache Kwenda Airport tena kuwasindikiza Wageni Wao...!
Ama hakika Msukule haukuwa unatania pale uliposema Wote kule ni HAMNAZO isipokuwa. JK na Sunday Manara..!
unateseka ukiwa wapi KOLO??Ingia You tube Mcheki mtu anayekwenda kwa Jina La Charlie Champlin utacheka saana , huyu jamaa ukimtafakari Vituko vyake kama HAMNAZO hivi..!
Sasa Timu ya Wenye akili kama huyu jamaa inakipiga kwa Mkapa na Wasomali baada ya kutoka Airport kuwapokea Wapinzani Wa Simba KIMATAIFA.
Sasa hili ni angalizo,Game La Kimataifa Likishamalizika Wasiache Kwenda Airport tena kuwasindikiza Wageni Wao...!
Ama hakika Msukule haukuwa unatania pale uliposema Wote kule ni HAMNAZO isipokuwa. JK na Sunday Manara..!
Kwakweli kwa akili hizi hatutoboi.Akili za aina hii halafu mnategemea nchi ipate maendeleo? Yaani hapa Napo Mtu kaona ameandika point na kuna watu watakuja kumuunga mkono.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Katika Yale Machale na Umo?unateseka ukiwa wapi KOLO??
Uto hawaishiwi vituko. Nao wameamua kuanzisha ligi yao ya kundi F yenye timu nne .Ingia You tube Mcheki mtu anayekwenda kwa Jina La Charlie Champlin utacheka saana , huyu jamaa ukimtafakari Vituko vyake kama HAMNAZO hivi..!
Sasa Timu ya Wenye akili kama huyu jamaa inakipiga kwa Mkapa na Wasomali baada ya kutoka Airport kuwapokea Wapinzani Wa Simba KIMATAIFA.
Sasa hili ni angalizo,Game La Kimataifa Likishamalizika Wasiache Kwenda Airport tena kuwasindikiza Wageni Wao...!
Ama hakika Msukule haukuwa unatania pale uliposema Wote kule ni HAMNAZO isipokuwa. JK na Sunday Manara..!
Ili tutobowe labda tuwache ulimbukeni wa kupokea wageni airportKwakweli kwa akili hizi hatutoboi.
Wameamua kujitafutia vibonde hili wajipigie Kisha wawambie CAF wawapandishe katika viwango vya ubora barani Afrika.Ingia You tube Mcheki mtu anayekwenda kwa Jina La Charlie Champlin utacheka saana , huyu jamaa ukimtafakari Vituko vyake kama HAMNAZO hivi..!
Sasa Timu ya Wenye akili kama huyu jamaa inakipiga kwa Mkapa na Wasomali baada ya kutoka Airport kuwapokea Wapinzani Wa Simba KIMATAIFA.
Sasa hili ni angalizo,Game La Kimataifa Likishamalizika Wasiache Kwenda Airport tena kuwasindikiza Wageni Wao...!
Ama hakika Msukule haukuwa unatania pale uliposema Wote kule ni HAMNAZO isipokuwa. JK na Sunday Manara..!
Wanatafuta ushindi wa kihistoria mkuu kwamba tuliwahi kuwafunga somalia magoli 10Hawa Yanga kama Wameshindwa kualika timu Kama As Vita, Mazembe basi, Wangeomba Mechi hata na AZAM Fc. Somalia kwa kweli sio kipimo sahihi.!
Hahah , Wazee Wa 'historia' Wanaenda Kuandika historia Nyingine.Wanatafuta ushindi wa kihistoria mkuu kwamba tuliwahi kuwafunga somalia magoli 10
[emoji1313][emoji1313][emoji1313]View attachment 2147319
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196]Duh, Kwa Ranking hiyo unaenda Kuwapima nini Wachezaji wako...?
Si bora tu Wakimbie Mchakamchaka Kama Wasafi Jogging Club Watakuwa wameingiza Kitu!