kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Ingia You tube Mcheki mtu anayekwenda kwa Jina La Charlie Champlin utacheka saana , huyu jamaa ukimtafakari Vituko vyake kama HAMNAZO hivi..!
Sasa Timu ya Wenye akili kama huyu jamaa inakipiga kwa Mkapa na Wasomali baada ya kutoka Airport kuwapokea Wapinzani Wa Simba KIMATAIFA.
Sasa hili ni angalizo,Game La Kimataifa Likishamalizika Wasiache Kwenda Airport tena kuwasindikiza Wageni Wao...!
Ama hakika Msukule haukuwa unatania pale uliposema Wote kule ni HAMNAZO isipokuwa. JK na Sunday Manara..!
Sasa Timu ya Wenye akili kama huyu jamaa inakipiga kwa Mkapa na Wasomali baada ya kutoka Airport kuwapokea Wapinzani Wa Simba KIMATAIFA.
Sasa hili ni angalizo,Game La Kimataifa Likishamalizika Wasiache Kwenda Airport tena kuwasindikiza Wageni Wao...!
Ama hakika Msukule haukuwa unatania pale uliposema Wote kule ni HAMNAZO isipokuwa. JK na Sunday Manara..!