Chacha90
JF-Expert Member
- Oct 13, 2017
- 433
- 727
Zilizopo chini ya uvungu zinapenyeza kuwa,vijana tajwa hapo juu wataula Muda siyo mrefu huku lengo kuu likiwa ni kujionesha kuwa CCM ina uwezo wa kumwamini mtu yeyote yule na kumpa nyazifa kubwa.
Huku vijana tajwa hapo juu wakipewa nafasi kubwa zaidi ya kunyakua moja ya nyazifa muhimu zaidi ndani ya Chama cha makanikia,Kijana Mwingine alimaarufu kama msemaji wa Yanga Mstaafu naye soon litamdondokea karai la dhahabu.
Keep waiting.
Huku vijana tajwa hapo juu wakipewa nafasi kubwa zaidi ya kunyakua moja ya nyazifa muhimu zaidi ndani ya Chama cha makanikia,Kijana Mwingine alimaarufu kama msemaji wa Yanga Mstaafu naye soon litamdondokea karai la dhahabu.
Keep waiting.