mimi siwazungumzii machalii wa chuga nawazungumzia mademu wa chuga.... aseehh mademu wa chuga ni noma!! yani juzi nimechukua namba za mademu kama wanne hivi wa sehemu tofauti tofauti hata hawajuani ili niwatongoze halafu nisubir nani ataingia line wa kwanza ili niboreshe, sasa wakati najiandaa niwashushie sound nikashangaa wenyewe wote sasa ndio wananitongoza!! Halafu sound zao sasa... hahahahahahahahaaa ni balaa tupu yani wana bonge ya sound!! daaaahhh mademu wa chuga heshima yenu [emoji119] [emoji119] [emoji119]