Machalii wa chuga hatunaga shobo za kishamba

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ukija na drama zako kulalaleki sisi tuna tunakutizama kisha tuna gonga ile kitu yetu. Tunakupotezea

Halafu hao machalii wanaotoka huko dasa laama ndio wanakuja kutuharibia mkoa wetu, maana wana tamaa kinyama, na hawapendi kazi ngumu ngumu ndio maana wanaishia kupoteza marinda yao kizembe.

Siunaona mwenyewe umekuja na drama zako eti umepanda kwenye kagari unapunga mkiono, unajikuta wewe nani?๐Ÿ˜ƒ machali wa chuga hatunaga hizo code. Njoo utekeleze majukumu yako kisha upite hivi.



 
Huyu Bazazi ameletwa Arusha ila hajui kuwa huo ndiyo mlango wa kutokea.

Zerobrain Bashite hawezi kujifunza wala kusoma alama za nyakati.

Unapokelewa na magari, na kusababisha msafara ambao unachelewesha usafiri wa wanaArusha kisa upate mapichapicha ya kijinga
 
R chuga๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿช‘๐Ÿช‘๐Ÿ’บ๐Ÿ’บ
 
Mda so mrefu mtakaa chini myamalize na mama zenu.

Mkitaka ushuhuda waulizeni wapiga debe wa Dar enzi za RC Makonda.

Kudili na wadudu nirahisi sana, kwanza unawaita unakaa nao, pili unaminya mianya yote wanayojipatia vipato. Mfano.. uchoko, wizi, deal chafu n.k.. wenyewe watarudi nyumbani kwa mama zao.
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ chuga hatuanyiagi kitu jombaaa
 
Nakubaliana na wewe mkuu!
Hawa viumbe wanajiona wajaja kumbe wenye akili tuonaona ni hamnazo.

uzuri ninkwamba huwa hakuna umoja likifika suala la kudeal na wahalifu.
Unachomoa wachache unawafanya kitu mbaya wengine wanajifunza.
 
Nakubaliana na wewe mkuu!
Hawa viumbe wanajiona wajaja kumbe wenye akili tuonaona ni hamnazo.

uzuri ninkwamba huwa hakuna umoja likifika suala la kudeal na wahalifu.
Unachomoa wachache unawafanya kitu mbaya wengine wanajifunza.
Wivu...
 
Kuna uzi humu wa vijana wa Arusha watu wametililika balaa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Inadaiwa..Vinaja wengi kwa tamaa zao wamevuliwa ubingwa na spika zao kupasuliwa.
 
Kuna uzi humu wa vijana wa Arusha watu wametililika balaa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Inadaiwa..Vinaja wengi kwa tamaa zao wamevuliwa ubingwa na spika zao kupasuliwa.
Vijana wa dasa laama hao chunga hatunaga hizo code
 
Turudi hapa kuhusu Bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ