Machalii wa chuga hatunaga shobo za kishamba

Machalii wa chuga hatunaga shobo za kishamba

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ukija na drama zako kulalaleki sisi tuna tunakutizama kisha tuna gonga ile kitu yetu. Tunakupotezea

Halafu hao machalii wanaotoka huko dasa laama ndio wanakuja kutuharibia mkoa wetu, maana wana tamaa kinyama, na hawapendi kazi ngumu ngumu ndio maana wanaishia kupoteza marinda yao kizembe.

Siunaona mwenyewe umekuja na drama zako eti umepanda kwenye kagari unapunga mkiono, unajikuta wewe nani?😃 machali wa chuga hatunaga hizo code. Njoo utekeleze majukumu yako kisha upite hivi.
F4B1C842-54B8-4E3B-A9AF-577958739716.jpeg




4DD4F2D6-5EF0-4C2B-9C08-79D2816F8CC5.jpeg
 
Ukija na drama zako kulalaleki sisi tuna tunakutizama kisha tuna gonga ile kitu yetu. Tunakupotezea

Halafu hao machalii wanaotoka huko dasa laama ndio wanakuja kutuharibia mkoa wetu, maana wana tamaa kinyama, na hawapendi kazi ngumu ngumu ndio maana wanaishia kupoteza marinda yao kizembe.

Siunaona mwenyewe umekuja na drama zako eti umepanda kwenye kagari unapunga mkiono, unajikuta wewe nani?😃 machali wa chuga hatunaga hizo code. Njoo utekeleze majukumu yako kisha upite hivi.View attachment 2959481



View attachment 2959475
Huyu Bazazi ameletwa Arusha ila hajui kuwa huo ndiyo mlango wa kutokea.

Zerobrain Bashite hawezi kujifunza wala kusoma alama za nyakati.

Unapokelewa na magari, na kusababisha msafara ambao unachelewesha usafiri wa wanaArusha kisa upate mapichapicha ya kijinga
 
Mda so mrefu mtakaa chini myamalize na mama zenu.

Mkitaka ushuhuda waulizeni wapiga debe wa Dar enzi za RC Makonda.

Kudili na wadudu nirahisi sana, kwanza unawaita unakaa nao, pili unaminya mianya yote wanayojipatia vipato. Mfano.. uchoko, wizi, deal chafu n.k.. wenyewe watarudi nyumbani kwa mama zao.
 
Mda so mrefu mtakaa chini myamalize na mama zenu.

Mkitaka ushuhuda waulizeni wapiga debe wa Dar enzi za RC Makonda.

Kudili na wadudu nirahisi sana, kwanza unawaita unakaa nao, pili unaminya mianya yote wanayojipatia vipato. Mfano.. uchoko, wizi, deal chafu n.k.. wenyewe watarudi nyumbani kwa mama zao.
😀😀 chuga hatuanyiagi kitu jombaaa
 
Mda so mrefu mtakaa chini myamalize na mama zenu.

Mkitaka ushuhuda waulizeni wapiga debe wa Dar enzi za RC Makonda.

Kudili na wadudu nirahisi sana, kwanza unawaita unakaa nao, pili unaminya mianya yote wanayojipatia vipato. Mfano.. uchoko, wizi, deal chafu n.k.. wenyewe watarudi nyumbani kwa mama zao.
Nakubaliana na wewe mkuu!
Hawa viumbe wanajiona wajaja kumbe wenye akili tuonaona ni hamnazo.

uzuri ninkwamba huwa hakuna umoja likifika suala la kudeal na wahalifu.
Unachomoa wachache unawafanya kitu mbaya wengine wanajifunza.
 
Nakubaliana na wewe mkuu!
Hawa viumbe wanajiona wajaja kumbe wenye akili tuonaona ni hamnazo.

uzuri ninkwamba huwa hakuna umoja likifika suala la kudeal na wahalifu.
Unachomoa wachache unawafanya kitu mbaya wengine wanajifunza.
Wivu...
 
Kuna uzi humu wa vijana wa Arusha watu wametililika balaa😀😀
Inadaiwa..Vinaja wengi kwa tamaa zao wamevuliwa ubingwa na spika zao kupasuliwa.
 
Huyu Bazazi ameletwa Arusha ila hajui kuwa huo ndiyo mlango wa kutokea.

Zerobrain Bashite hawezi kujifunza wala kusoma alama za nyakati.

Unapokelewa na magari, na kusababisha msafara ambao unachelewesha usafiri wa wanaArusha kisa upate mapichapicha ya kijinga
Turudi hapa kuhusu Bashite
 
Back
Top Bottom