bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
Umeona Dareda...kwetu???Hongereni!
Hiyo deal ikowapi wakati wote sa hivi,wanasugua benchiTO masomo ya sanaa sio big deal sana..ishu ni sayansi.
Dareda sio mchezoUmeona Dareda...kwetu???
NonsenseTO masomo ya sanaa sio big deal sana..ishu ni sayansi.
Kilimanjaro na Northern Highlanders watanuna, muhaya kawala katika uwanja wao wanyumbani.
Walikuwa wanampongeza mwendazakeVipi Chato?
Miaka michache nyuma Chato ilisumbua sana kwa kutoa best students kuanzia std 4 mpaka form 6.
Huyo dogo ametokea usukumani ndanindani Sana kwenye kashule ka kata!!Muhaya katoka bukoba huko kaenda kuwanyooshea kijijini kwao huko machame[emoji28][emoji28]
Hii nchi ina vituko! Yaani wameona wananchi ni mazuzu kabisa! Sasa hivi SINGIDA na LINDI wameongoza kidato cha sita 😂😂Vipi Chato?
Miaka michache nyuma Chato ilisumbua sana kwa kutoa best students kuanzia std 4 mpaka form 6.