Machangudoa waendelea kuzianika sura zao kwenye mahojiano

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Kipindi cha nyuma lilikuwa ni jambo gumu kuona Malaya akionyesha sura yake akiwa anahojiwa na mwanahabari, ila sasaivi limekuwa ni jambo la kawaida kabisa kwani Malaya wamekuwa hawana hofu kwa jamii wala familia zao kuwa zitawaonaje.

Your browser is not able to display this video.


Unahisi umalaya limekuwa jambo la kawaida kiasi kwamba watu hawahofii kujulikana?

Written by Mjanja M1 ✍️
 
Kizazi cha zuchu hakina aibu na ndio maana mbele kama nyuma na nyuma kama mbele
 
kukata tamaa ni kitu mbaya sana, unaweza fanya lolote usione ni baya
 
Kidogo niseme ni mwa J, ila huyu hana komwe ka'nanga ya mv magogoni..😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…