Weka picha mkuu maana imesha kua nijanga[emoji60][emoji60]Malaya kibao tu wanapewa airtime mitandaoni na kwenye mainstream media.
Kuna tangazo moja nimeliona kwenye TV binti kavaa sidiria inayoonesha na chupi kalala mwanaume anachora picha yake (Wabongo). Nilishangaa sana..
Kizazi cha zuchu hakina aibu na ndio maana mbele kama nyuma na nyuma kama mbeleKipindi cha nyuma lilikuwa ni jambo gumu kuona Malaya akionyesha sura yake akiwa anahojiwa na mwanahabari, ila sasaivi limekuwa ni jambo la kawaida kabisa kwani Malaya wamekuwa hawana hofu kwa jamii wala familia zao kuwa zitawaonaje.
View attachment 2900502
Unahisi umalaya limekuwa jambo la kawaida kiasi kwamba watu hawahofii kujulikana?
Written by Mjanja M1 ✍️
Ndio HIO Ila hawana cheti na hakuna Chuo kinatoa course hioHivi unajua the oldest Profession in the World ?
Weka picha inayoonesha hiyo sidiria na chupi hapo hapo mkuu ili tuone hiki kitu kipya ndugu.Kuna tangazo moja nimeliona kwenye TV binti kavaa sidiria inayoonesha na chupi kalala mwanaume anachora picha yake (Wabongo). Nilishangaa sana.
kukata tamaa ni kitu mbaya sana, unaweza fanya lolote usione ni bayaKipindi cha nyuma lilikuwa ni jambo gumu kuona Malaya akionyesha sura yake akiwa anahojiwa na mwanahabari, ila sasaivi limekuwa ni jambo la kawaida kabisa kwani Malaya wamekuwa hawana hofu kwa jamii wala familia zao kuwa zitawaonaje.
View attachment 2900502
Unahisi umalaya limekuwa jambo la kawaida kiasi kwamba watu hawahofii kujulikana?
Written by Mjanja M1 ✍️