Machangudoa wanaotarajia kutoa huduma ya ngono kwenye Kombe la Afrika (AWCON) 2018 nchini Ghana watoa bei za kutoa huduma. Waahidi kujituma balaa.

Machangudoa wanaotarajia kutoa huduma ya ngono kwenye Kombe la Afrika (AWCON) 2018 nchini Ghana watoa bei za kutoa huduma. Waahidi kujituma balaa.

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
2,869
Reaction score
3,187
IMG_0191.JPG


Shirikisho la Machangudoa wa Ghana (GPA), limetoa orodha ya bei za kugonoka, ikiwa ni maandalizi ya kuhudumia wageni na wateja wao wanaotarajiwa kuwasili nchini Ghana kwa ajili ya Kombe la Afrika la Wanawake Mwezi Novemba 17 - Disemba 1, 2018.

Rais wa Machangudoa wa Ghana (GPA), Madame Patience Adomah, aliilaumu Kamati ya Maandalizi ya Mashindano nchini Ghana (LOC) kwa kutowahusisha GPA katika maandalizi hayo. Alisema walitaka kuwasilisha bei zao pamoja na mabinti wazuri ili wapate access kwenye mahoteli ama kwa waliopangwa kutoa burudani kwa wageni waalikwa.

GPA waliahidi kutoza bei za kawaida. Kwa usiku mmoja, itakuwa fedha za kighana Cedi 200 wakati kwa nusu siku ni Cedi 150.
Dola 1 ni sawa na Cedi 4.8. Hivyo, Cedi 200 ni sawa na Dola 41
So kwa hela yetu ya madafu ni sawa na Tsh. 94,300 kwa usiku mmoja.

Hata hivyo, kwa mapenzi ya chomolea, bei itakuwa ni Cedi 30 - 60 (Tsh. 13,800 - 27,600) kuanzia saa 1 - 4 usiku; wakati itakuwa Cedi 15 - 30 (Tsh. 6,900 - 13,800) kuanzia saa 5 - 11 alfajiri.

Kazi kwenu mashabiki wa mpira wa wanawake.

IMG_0190.JPG
 
Mbona hawajaweka na bei za tigo, maana kuna wapenzi wa ambaruti
 
hili ndio shindano wabongo wanaweza.......

waombe ushiriki
 
hizo bei sio mbaya sana ila mbona hawajasema kama na shepu inaweza kupelekea bei kuongezeka au kushuka
 
Hiyo ya Chomolea ndiyo nzuri, mpaka muda uishe umeshapiga hat trick
 
Back
Top Bottom