Machifu na Edward Twinning. Nani mwenye picha inayoonekana vizuri zaidi?

Machifu na Edward Twinning. Nani mwenye picha inayoonekana vizuri zaidi?

sawa sijaweka mimi nimepewa hivyo hivyo tusaidiane kuirekebisha. Ila ila inaelekea Mkwawa na Mirambo walipata warithi na walitumia majina yale yale yaani Mkwawa na Mirambo wale wa kwenye Historia. Sababu mpaka leo Mrithi waMkwawa yupo
Baada ya kifo cha Milambo, hakukuwapo na mtemi mwingine mwenye jina hilo kwenye eneo lote la Unyanyembe.

Milambo mwenyewe alirithiwa na mwanawe wa pekee aliyekuwa kiitwa Nyungu-ya-Mawe ambaye naye alikufa mwaka huo huo wa 1884 ndipo utemi wa Unyanyembe ulipovunjika kukawa na temi ndogogondogo kadhaa ambapo mtemi Katu-ka-Moto na alitawala eneo la Urambo na sehemu nyingine kubwa ikawa chini ya mtemi Isike. Hata hivyo wajerumani wawaua mtemi Isike na mtemi Katu-kaMoto na kuweka mtemi wao wa kike aliyekuwa akiitwa Bibi Nyaso kuwa mtemi wa Unyanyembe yote. Wakati waingereza wanaaza kutawala nchi hii, utemi wa unyanyembe ulikuwa umshegawanyika na kuwa dhaifu sana wala hakukuwa na trace zozote za mtemi Milambo tena. Chief wa Unanyembe aliyekuja kupatikana baada ya utawala wa waingereza alikuwa Chief Fundikira.
 
Majina uliyoweka siyo ya kweli kwani ChifuMkwawa na Chifu Milambo (siyo Mirambo) wao walikufa wakati wa utawala wa mjerumani zaidi ya miaka 20 kabla ya utawala wa Twining.
Huyo ni Sapi Mkwawa baba yake na Adam Sapi Mkwawa, ni mtoto wa chief Mkwawa aliyerithi Kalenga baada ya kifo cha baba yake!!
 
Back
Top Bottom