Machimbo ya bata mikoani kwa mnaosafiri leo

Hahaaa, Makambako Emirates kuna wanyama balaa!! Ila hakikisha unavaa Kinga, Ngwengwe!
 
Kuna mijitu inawashwa imeingilia uzi usowahusu.

Mkachangie kwenye nyuzi za Palestina na Israeli tuachieni uzi.
🤣🤣🤣 Kumekucha
mbona unatufokea tena wachangiaji!!
 
Ni vigumu Taifa kuendelea ikiwa vijana ndio nguvu kazi ya Taifa inawaza wanawaza ngono na Pombe..
 
Morogoro umezingua hilo chimbo limejaa mateja, wanaotoa huduma wenyewe ukiwaona mhh [emoji2961][emoji2961]. Bora samaki samaki

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Duuh kweli huku JF ukichukulia kila kitu serious utachanganyikiwa, imagine mtu anatoka tu huko alikotoka kashapiga zake wanzuki na kushabu, anaropoka eti Arusha ni 'nchi' huru ndani ya Tanzania

Kwamba watu wengi nchini na huko duniani wanaojua kwamba kijiografia, kisiasa, kiutamaduni na kijamii Arusha ni mkoa kama mikoa mingine ya Tanzania hawajui kitu ila watu kama ninyi ndio mnajua siyo

Kazi kweli kweli, na wenyeji wa Iringa nao wakiamua tu kujitamkia kwamba Iringa ni nchi huru ndani ya Tanzania napo fresh tu, maana si ni suala la kutamka tu halafu basi inakuwa imeisha hiyo
 
Kahumba pako hivyo hivyo hadi leo pa hovyo sana mkuu kwa hili naku support

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…