Machimbo ya Kariakoo Mkononi Mwako

Mimi naomba chimbo zuri la pc Kali na bei nafuu hapo kariakoo
 
Kibenje yuko wapi??
 
Kibenje yuko wapi??
wasiliana kwanza na huyu mwnye thread mana kuna hatihati ya kushtakiwa mtu hapo. kuna watu wako kariakoo mda huu wanaifanyia kazi hii fursa. nasikia wametoka sinza. na wataingia mkola mana tayari mwenye hii thread kashaisajili COSOTA
 
Kuna haja ya kujiuliza maswali kuhusu kwanini JUMIA alifeli bongo kwenye e-commerce?. Ukipata majibu ndio solution ya kuwa implemented bongo.
 
Suluhu la hiyo ya machimbo mm ninalo. IT serious anitafute tufanye jambo serious. Wengi wana tamaa ya kufanya peke Yao ili watajirike... Uwinga kariakoo naujua vizuri. Namna ya kukombat utapeli naijua. Kama uko DSM tuwasiliane. Hii isiitwe machimbo! Ni jina tofauti sana na Hilo . A biggest E-market plartform
 
Mkuu vp suala la kulinda shamba la yule mzee kule kisarawe umechukua hiyo tenda?
 
NJoo PM. Au nipe namba yako
 
Natafuta makoti ya makoti ya jinsi bei ya jumla kwa belo
 
Niko Morogoro mkuu. Ila implementation plan ndo hiyo. Kuwa free kuikosoa hapa, kwa faida ya wengine pia. Ila, kama unataka mawasiliano zaidi, namba ni 0742308110
Hii namba unatumia whatsapp?ninahitaji chimbo la mifuko ya nailon(maarfu waraka),mifuko ya magufuli na turubai ya mchina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…