Machimbo ya Kariakoo Mkononi Mwako

Machimbo ya Kariakoo Mkononi Mwako

Mimi naomba chimbo zuri la pc Kali na bei nafuu hapo kariakoo
 
He cant do the best ,kama hayuko tayari kujifunza kwa walioshindwa. Kama anabisha aingie ground mana Hana tofauti na alibaba. Hii ni local alibaba tu.

Lazima uwe makin mana utapeli uko nje nje na promotion ya web yako inyooke kwelikweli mana hutakuwa na kitu kipya. Hili wazo ni kama umeliongeza hatua kadhaa tu za jamaa mmoja anaitwa kelvin kibenje. Na yeye sio mhusika moja kwa moja wa kufatilia mzigo wako mpaka ufike. Na hii idea iko mezani kwa sasa katika ofisi yake.. nina hof mkuu ulikoitoa mpka akuiandika hapa. By the way! From begin inaweza kutoa sauti ya wewe winga mana bei ni confused sana. Muhimu tu watu walipe kwako ili uwanunulie nje ya hapo umefeli.


Anza na case study ya jamaa flani hivi wanaitwa sarafu.
Kibenje yuko wapi??
 
Kibenje yuko wapi??
wasiliana kwanza na huyu mwnye thread mana kuna hatihati ya kushtakiwa mtu hapo. kuna watu wako kariakoo mda huu wanaifanyia kazi hii fursa. nasikia wametoka sinza. na wataingia mkola mana tayari mwenye hii thread kashaisajili COSOTA
 
Kuna haja ya kujiuliza maswali kuhusu kwanini JUMIA alifeli bongo kwenye e-commerce?. Ukipata majibu ndio solution ya kuwa implemented bongo.
 
Suluhu la hiyo ya machimbo mm ninalo. IT serious anitafute tufanye jambo serious. Wengi wana tamaa ya kufanya peke Yao ili watajirike... Uwinga kariakoo naujua vizuri. Namna ya kukombat utapeli naijua. Kama uko DSM tuwasiliane. Hii isiitwe machimbo! Ni jina tofauti sana na Hilo . A biggest E-market plartform
 
Suluhu la hiyo ya machimbo mm ninalo. IT serious anitafute tufanye jambo serious. Wengi wana tamaa ya kufanya peke Yao ili watajirike... Uwinga kariakoo naujua vizuri. Namna ya kukombat utapeli naijua. Kama uko DSM tuwasiliane. Hii isiitwe machimbo! Ni jina tofauti sana na Hilo . A biggest E-market plartform
Mkuu vp suala la kulinda shamba la yule mzee kule kisarawe umechukua hiyo tenda?
 
Suluhu la hiyo ya machimbo mm ninalo. IT serious anitafute tufanye jambo serious. Wengi wana tamaa ya kufanya peke Yao ili watajirike... Uwinga kariakoo naujua vizuri. Namna ya kukombat utapeli naijua. Kama uko DSM tuwasiliane. Hii isiitwe machimbo! Ni jina tofauti sana na Hilo . A biggest E-market plartform
NJoo PM. Au nipe namba yako
 
Natafuta makoti ya makoti ya jinsi bei ya jumla kwa belo
 
Niko Morogoro mkuu. Ila implementation plan ndo hiyo. Kuwa free kuikosoa hapa, kwa faida ya wengine pia. Ila, kama unataka mawasiliano zaidi, namba ni 0742308110
Hii namba unatumia whatsapp?ninahitaji chimbo la mifuko ya nailon(maarfu waraka),mifuko ya magufuli na turubai ya mchina.
 
Screenshot_20250119_214100_WPS Office.jpg

Kujipatia kitabu hiki:
Whatsapp: 0687746471
 
Back
Top Bottom