Machine Ya Kutengenezea Juice Ya Miwa

Machine Ya Kutengenezea Juice Ya Miwa

Sarleh Arch

Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
30
Reaction score
13
Hello Watanzania Wenzangu.
Maisha yamekua magumu sana ktk kipindi hiki, kwa bahati nzuri nyumbani nina kitega uchumi, mashine ya Kutengenezea Juice Ya Miwa, sipo hapa kwa lengo la kuiuza Hapana, nipo hapa kwaajili ya kutafuta mtu wa kufanya nae biashara hii, binafsi nimeshindwa kupata eneo la kuanzisha biashara hii kutokana na kufeli kifedha. Directly sina eneo la kufanya biashara mfano fremu tunavyoita. Kwa yeyote ataevutiwa ao atakae kua na eneo basi si vibaya tukashirikiana kufanya biashara na kupata chochote kujiendeleza na kujikuza kiuchumi.

[+255738242566]
Kwa mawasiliano zaidi.
Mi ni mkazi wa Dar es salaam Temeke Tandika
 
Sorry Sana wakuu
Mi ni mkazi wa Dar es salaam
Temeke Tandika
 
Hello Watanzania Wenzangu.
Maisha yamekua magumu sana ktk kipindi hiki, kwa bahati nzuri nyumbani nina kitega uchumi, mashine ya Kutengenezea Juice Ya Miwa, sipo hapa kwa lengo la kuiuza Hapana, nipo hapa kwaajili ya kutafuta mtu wa kufanya nae biashara hii, binafsi nimeshindwa kupata eneo la kuanzisha biashara hii kutokana na kufeli kifedha. Directly sina eneo la kufanya biashara mfano fremu tunavyoita. Kwa yeyote ataevutiwa ao atakae kua na eneo basi si vibaya tukashirikiana kufanya biashara na kupata chochote kujiendeleza na kujikuza kiuchumi.
25578242566.
Kwa mawasiliano zaidi.
Mi ni mkazi wa Dar es salaam Temeke Tandika
Namba umeweka hazipo sawa
 
Back
Top Bottom