Machinga Dodoma mjini wapewa masharti ya kijani

Machinga Dodoma mjini wapewa masharti ya kijani

Mathias Raymond Nyakapala

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
2,181
Reaction score
1,493
Baada ya bomoa bomoa ya maeneo ya JAMATINI,SARAFINA NA STAND YA MKOA maeneo ambayo yanamilikiwa na Shirika la Reli Tanzania na Wajasiliamali kupitia umoja wao wameomba eneo la kufanyiabiashara kwa muda wakati wanajipanga kuisoma namba huku wakijiandaa kwa maamuzi magumu 2020.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma ameibika na kuwapa eneo kwenye D-center ya Makole hapa hapa Mjini lakini amewapa masharti kama yafuatayo:-

1.Wajenge vibanda vya muda huku wakisubiri mpango wa Jiji ndo wapewe sehemu za kudumu.

2.Vibanda vyote watakavyojenga lazima viwe na RANGI YA KIJANI KILICHOIVA.

3.............

Nikajiuliza binafsi kwanini iwe rangi ya Kijani au wanasisitiza usitawishaji Makao Makuu??au ndo UCCM wa wazi mchana kweupe?

7c8256ad2d5e6b9aa842f3216e881018.jpg

c26497044d0418c6fea65d0e30a022e7.jpg

21a99b351b270b9b79dce5887a1e89c7.jpg
 
We jamaa si ni mkereketwa wa kijani,leo imekuwaje?
Umewahi gombea hata umeya kwa tiketi ya kijani, na mara ya mwisho ulikuwa unampigia debe mgombea udiwani wa kata ya Chipogolo kupitia CCM.
Leo kwa wamachinga kimekusibu nini?
Wasaidie tu kupaka rangi ya kijani,ila kaa ukijua kuwa upinzani ni ideas na ambazo zipo kichwani mwa wananchi hata wakilazimishwa kuwa na muenekano wa kijani ila nafsi zao ni upinzani tu.
 
M
We jamaa si ni mkereketwa wa kijani,leo imekuwaje?
Umewahi gombea hata umeya kwa tiketi ya kijani, na mara ya mwisho ulikuwa unampigia debe mgombea udiwani wa kata ya Chipogolo kupitia CCM.
Leo kwa wamachinga kimekusibu nini?
Wasaidie tu kupaka rangi ya kijani,ila kaa ukijua kuwa upinzani ni ideas na ambazo zipo kichwani mwa wananchi hata wakilazimishwa kuwa na muenekano wa kijani ila nafsi zao ni upinzani tu.
Mkuu kuna mahali umechanganya ni kweli nashiriki sana Siasa lakini sijawahi kuwa CCM na hata Chipogolo nilikuwa namnadi mgombea wa Chadema anaitwa Jafary Jumanne Simba [emoji111]
 
M

Mkuu kuna mahali umechanganya ni kweli nashiriki sana Siasa lakini sijawahi kuwa CCM na hata Chipogolo nilikuwa namnadi mgombea wa Chadema anaitwa Jafary Jumanne Simba [emoji111]
Mkuu naomba tuweke mambo sawa, Inamaana humuungi mkono Rais Magufuli ? Yani huamini anayoyapigania ndio wapinzani mlikuwa mkiyapigania?
Maana nyie wanasiasa ni ngumu kuwaelewa siku hizi
 
Back
Top Bottom