Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,493
Baada ya bomoa bomoa ya maeneo ya JAMATINI,SARAFINA NA STAND YA MKOA maeneo ambayo yanamilikiwa na Shirika la Reli Tanzania na Wajasiliamali kupitia umoja wao wameomba eneo la kufanyiabiashara kwa muda wakati wanajipanga kuisoma namba huku wakijiandaa kwa maamuzi magumu 2020.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma ameibika na kuwapa eneo kwenye D-center ya Makole hapa hapa Mjini lakini amewapa masharti kama yafuatayo:-
1.Wajenge vibanda vya muda huku wakisubiri mpango wa Jiji ndo wapewe sehemu za kudumu.
2.Vibanda vyote watakavyojenga lazima viwe na RANGI YA KIJANI KILICHOIVA.
3.............
Nikajiuliza binafsi kwanini iwe rangi ya Kijani au wanasisitiza usitawishaji Makao Makuu??au ndo UCCM wa wazi mchana kweupe?
Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma ameibika na kuwapa eneo kwenye D-center ya Makole hapa hapa Mjini lakini amewapa masharti kama yafuatayo:-
1.Wajenge vibanda vya muda huku wakisubiri mpango wa Jiji ndo wapewe sehemu za kudumu.
2.Vibanda vyote watakavyojenga lazima viwe na RANGI YA KIJANI KILICHOIVA.
3.............
Nikajiuliza binafsi kwanini iwe rangi ya Kijani au wanasisitiza usitawishaji Makao Makuu??au ndo UCCM wa wazi mchana kweupe?