Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,493
Mkuu kuna mahali umechanganya ni kweli nashiriki sana Siasa lakini sijawahi kuwa CCM na hata Chipogolo nilikuwa namnadi mgombea wa Chadema anaitwa Jafary Jumanne Simba [emoji111]We jamaa si ni mkereketwa wa kijani,leo imekuwaje?
Umewahi gombea hata umeya kwa tiketi ya kijani, na mara ya mwisho ulikuwa unampigia debe mgombea udiwani wa kata ya Chipogolo kupitia CCM.
Leo kwa wamachinga kimekusibu nini?
Wasaidie tu kupaka rangi ya kijani,ila kaa ukijua kuwa upinzani ni ideas na ambazo zipo kichwani mwa wananchi hata wakilazimishwa kuwa na muenekano wa kijani ila nafsi zao ni upinzani tu.
Mkuu naomba tuweke mambo sawa, Inamaana humuungi mkono Rais Magufuli ? Yani huamini anayoyapigania ndio wapinzani mlikuwa mkiyapigania?M
Mkuu kuna mahali umechanganya ni kweli nashiriki sana Siasa lakini sijawahi kuwa CCM na hata Chipogolo nilikuwa namnadi mgombea wa Chadema anaitwa Jafary Jumanne Simba [emoji111]
Kweli tena ila tunapoendelea itafahamikaYaani tumekuja mdogo mdogo hatimaye tumeingia kwenye utawala wa KIIMLA.