Machinga Wa Feri Poleni Kwa Msiba Mkubwa

Machinga Wa Feri Poleni Kwa Msiba Mkubwa

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,191
Reaction score
8,490
Najua jana katika kulazimisha wapate fedha za kufungia mwaka askari manispaa walivunja godown mnakohifadhi mali zenu na kupora na kuharibu mali na kutaifisha.

Kwa kuwa wakati wa tukio mali zilikuwa hazijatolewa wala kupangwa sehemu wanazokatalia msifanye biashara hasa jioni, ni vyema kwa mliopata hasara mutafute haki yenu iliyodhulumiwa.

Tafuteni usaidizi wa kisheria mdai fidia ya uharibifu na upotevu wa mali zenu maana hakuna sheria inayowaruhusu kufanya walichofanya ingawa najua wengine mliwapoza kwa virushwa na kupata mali zenu. Ambao mali zenu zimepotea msikubali kufa kikondoo.

Cha kumalizia mchawi wetu mkuu mnamjua hao wala rushwa uchwara wanatumwa tu.
 
Najua jana katika kulazimisha wapate fedha za kufungia mwaka askari manispaa walivunja godown mnakohifadhi mali zenu na kupora na kuharibu mali na kutaifisha.

Kwa kuwa wakati wa tukio mali zilikuwa hazijatolewa wala kupangwa sehemu wanazokatalia msifanye biashara hasa jioni, ni vyema kwa mliopata hasara mutafute haki yenu iliyodhulumiwa.

Tafuteni usaidizi wa kisheria mdai fidia ya uharibifu na upotevu wa mali zenu maana hakuna sheria inayowaruhusu kufanya walichofanya ingawa najua wengine mliwapoza kwa virushwa na kupata mali zenu. Ambao mali zenu zimepotea msikubali kufa kikondoo.

Cha kumalizia mchawi wetu mkuu ni mnamjua hao wala rushwa uchwara wanatumwa tu.

"... askari manispaa walivunja godown mnakohifadhi mali zenu na kupora na kuharibu mali na kutaifisha."

Bongo Nyoso.
 
Kijana achana na propaganda mfu ambazo haziwezi kukupa ww au aliekutuma msaada wa kudumu, japo unaweza kuwa umepewa vijibando kidogo na ela ya mihogo ili uje uandike ulichoandika. Miaka 6 iliyopita kuna watu walikuja na propaganda mbali mbali zaidi ya hizi wakiamini kuwa ndio zingewasaidia kuwaingiza ikulu kiulaini, lkn kwa bahati nzuri watanzania wengi wa sasa hawashikiwi akili na wanasiasa uchwara kwa lengo la kutumiwa kama daraja la kuvukia. Pamoja na propaganda zote zilizosambazwa na hawa wanasiasa wachovu, lkn ulipofika uchaguzi mkuu watu wakafanya kile walichopaswa kufanya kwa faida ya wao na watoto wao na sio kwa tamaa ya matumbo yao. Kwa kuku kumbusha tu angalia picha za mikutano ya wale waliofanya propaganda kwa zaidi ya miaka mitano na ya yule ambae alichafuliwa na propaganda hizo uone jinsi watanzania wasivyokubali kushikiwa akili kijinga jinga hivi.



images (13).jpeg


images (14).jpeg


images (8).jpeg
 
Wote hao machinga wanamashati ya kijani, na skafu za kijani!
Waisome namba tu, vigeugeu wakubwa hao!
 
na bado wanakubishia. Chadema wachawi kutwa kufurahia anguko la wengine
Chadema meno yote nje kwa furaha
cheki hawa 👇👇👇👇inashangaza siasa kugeuzwa uadui mkubwa ukute hao wamachinga miongoni mwao ni wanachama wa chadema
Kijana achana na propaganda mfu ambazo haziwezi kukupa ww au aliekutuma msaada wa kudumu, japo unaweza kuwa umepewa vijibando kidogo na ela ya mihogo ili uje uandike ulichoandika. Miaka 6 iliyopita kuna watu walikuja na propaganda mbali mbali zaidi ya hizi wakiamini kuwa ndio zingewasaidia kuwaingiza ikulu kiulaini, lkn kwa bahati nzuri watanzania wengi wa sasa hawashikiwi akili na wanasiasa uchwara kwa lengo la kutumiwa kama daraja la kuvukia. Pamoja na propaganda zote zilizosambazwa na hawa wanasiasa wachovu, lkn ulipofika uchaguzi mkuu watu wakafanya kile walichopaswa kufanya kwa faida ya wao na watoto wao na sio kwa tamaa ya matumbo yao. Kwa kuku kumbusha tu angalia picha za mikutano ya wale waliofanya propaganda kwa zaidi ya miaka mitano na ya yule ambae alichafuliwa na propaganda hizo uone jinsi watanzania wasivyokubali kushikiwa akili kijinga jinga hivi.



View attachment 2054394

View attachment 2054397

View attachment 2054399
Wote hao machinga wanamashati ya kijani, na skafu za kijani!
Waisome namba tu, vigeugeu wakubwa hao!
 
na bado wanakubishia. Chadema wachawi kutwa kufurahia anguko la wengine

cheki hawa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]inashangaza siasa kugeuzwa uadui mkubwa ukute hao wamachinga miongoni mwao ni wanachama wa chadema

Uadui wa kisiasa ulianza kutengezwa na ccm!
Mfano halisi ambao ni current, ni mambo aliyokuwa anafanya sabaya kwa kivuli cha mwendazake!
Imagine haya waliyokuwa wakifanya ccm, unadhani huo ulikuwa urafiki? Ccm ndio vinara wa kusema siasa siyo uadui lakini wao ndio huwa namba moja katika kuanzisha uadui tena wakisimamiwa na police kabisa!
 
Frey machinga wapo wanachama wa chadema na unaweza kuta bendera ya chadema kwenye vijiwe vyao,sasa nyie kushangilia anguko lao sio poa. mnalalamika kila mwaka mmeibiwa kura lakini wakati huo huo mnawalaumu wa machinga kuwapigia kura ccm je kama wao wanaipigia kura kwa wingi ccm hizo mnazoibiwa kila mwaka ni zipi?

uhasama mliuanzisha wenyewe enzi zile za dokta slaa,JK aliwachekea sana ilifikia hatua mtu akivaa gauni, shati la kijani anazomewa na hata kuchaniwa nguo yake
Uadui wa kisiasa ulianza kutengezwa na ccm!
Mfano halisi ambao ni current, ni mambo aliyokuwa anafanya sabaya kwa kivuli cha mwendazake!
Imagine haya waliyokuwa wakifanya ccm, unadhani huo ulikuwa urafiki? Ccm ndio vinara wa kusema siasa siyo uadui lakini wao ndio huwa namba moja katika kuanzisha uadui tena wakisimamiwa na police kabisa!
 
Kijana achana na propaganda mfu ambazo haziwezi kukupa ww au aliekutuma msaada wa kudumu, japo unaweza kuwa umepewa vijibando kidogo na ela ya mihogo ili uje uandike ulichoandika. Miaka 6 iliyopita kuna watu walikuja na propaganda mbali mbali zaidi ya hizi wakiamini kuwa ndio zingewasaidia kuwaingiza ikulu kiulaini, lkn kwa bahati nzuri watanzania wengi wa sasa hawashikiwi akili na wanasiasa uchwara kwa lengo la kutumiwa kama daraja la kuvukia. Pamoja na propaganda zote zilizosambazwa na hawa wanasiasa wachovu, lkn ulipofika uchaguzi mkuu watu wakafanya kile walichopaswa kufanya kwa faida ya wao na watoto wao na sio kwa tamaa ya matumbo yao. Kwa kuku kumbusha tu angalia picha za mikutano ya wale waliofanya propaganda kwa zaidi ya miaka mitano na ya yule ambae alichafuliwa na propaganda hizo uone jinsi watanzania wasivyokubali kushikiwa akili kijinga jinga hivi.



View attachment 2054394

View attachment 2054397

View attachment 2054399
You are such a fool kudai hizi ni propaganda. Bad enough unaamini eti uchaguzi wa Tz ni free and fair, una tatizo la akili sio bure.

Halafu mbona huyo unayemuonesha hapo the late Magufuli alikuwa hana shida na sisi machinga, naona unaji_contradict hapo.
 
You are such a fool kudai hizi ni propaganda. Bad enough unaamini eti uchaguzi wa Tz ni free and fair, una tatizo la akili sio bure.

Halafu mbona huyo unayemuonesha hapo the late Magufuli alikuwa hana shida na sisi machinga, naona unaji_contradict hapo.
Njaa kweli mbaya, yani pamoja na kupewa macho yakuona lkn hayaoni hata kupitia hizo picha kwamba ni nani aliepata kura nyingi kwenye uchaguzi? Kama watu hawakupendi hawakupendi tu, watasusa mikutano yako haijalishi umetoka ulaya au marekani na hatua ya mwisho kuonesha hasira zao za kukukataa ni kukuadhibu kupitia sanduku la kura, hakuna cha zaidi. Bora Lowasa anaweza kueleweka kidogo maana juhudi na dalili zilionekana kupitia mikutano yake. Kuhusu swala la machinga hilo ni la kisheria, watu hawawezi kupanga vitu kiholela hadi karibu na mlango wa ikulu au ofisi ya raisi afu waachiwe tu eti kisa aliepita aliwaacha. Ki usalama ni nchi gani ishawahi kuruhusu watu wafanye biashara karibu na eneo la raisi? Wameshapewa maeneo yao, kwahiyo wakayaendeleze huko. Kajipange tena na propaganda zaidi ya 100, ila nakuhakikishia kuwa ukifika uchaguzi mkuu utajilaumu ni kwanini ulipoteza muda wako kuandika ujinga humu JF. Watanzania washajifunza kupitia nchi nyingi ambazo upinzani ulishinda uraisi, mpaka sasa nchi hizo hazina mabadiliko yoyote zaidi ya kuongezeka ufisadi, visasi na kulindana wenyewe kwa wenyewe.
Angalia utofauti wa mkutano wa Lowasa na Zito uone ni nani anastahili kulalamika kuibiwa kura.
2502081_Screenshot_20200828-192616.jpg
 
Hizo picha ndio zinapiga kura au!? Wameshapewa maeneo yao!? Hebu wewe nitajie maeneo unayodai wamepewa!? Umemezeshwa maneno kikasuku.
 
Njaa kweli mbaya, yani pamoja na kupewa macho yakuona lkn hayaoni hata kupitia hizo picha kwamba ni nani aliepata kura nyingi kwenye uchaguzi? Kama watu hawakupendi hawakupendi tu, watasusa mikutano yako haijalishi umetoka ulaya au marekani na hatua ya mwisho kuonesha hasira zao za kukukataa ni kukuadhibu kupitia sanduku la kura, hakuna cha zaidi. Bora Lowasa anaweza kueleweka kidogo maana juhudi na dalili zilionekana kupitia mikutano yake. Kuhusu swala la machinga hilo ni la kisheria, watu hawawezi kupanga vitu kiholela hadi karibu na mlango wa ikulu au ofisi ya raisi afu waachiwe tu eti kisa aliepita aliwaacha. Ki usalama ni nchi gani ishawahi kuruhusu watu wafanye biashara karibu na eneo la raisi? Wameshapewa maeneo yao, kwahiyo wakayaendeleze huko. Kajipange tena na propaganda zaidi ya 100, ila nakuhakikishia kuwa ukifika uchaguzi mkuu utajilaumu ni kwanini ulipoteza muda wako kuandika ujinga humu JF. Watanzania washajifunza kupitia nchi nyingi ambazo upinzani ulishinda uraisi, mpaka sasa nchi hizo hazina mabadiliko yoyote zaidi ya kuongezeka ufisadi, visasi na kulindana wenyewe kwa wenyewe.
Angalia utofauti wa mkutano wa Lowasa na Zito uone ni nani anastahili kulalamika kuibiwa kura.
View attachment 2054679
Njaa nzuri kwako. Hayo mamlaka ya kunyang'anya mali iliyohifadhiwa godown wamepewa na ccm au Samia!? Maana sijui hata ni nini unachojaribu kutetea.
 
Njaa nzuri kwako. Hayo mamlaka ya kunyang'anya mali iliyohifadhiwa godown wamepewa na ccm au Samia!? Maana sijui hata ni nini unachojaribu kutetea.
Mkuu tumia akili uliyopewa na Mungu wako ili uuone ukweli, achana na hiyo akili uliyopandikizwa na wanasiasa njaa wanaotafuta kujaza matumbo yao na familia yao kupitia mgongo wa matatizo yao. Hebu waombe viongozi wako wa upinzani wakurudishie akili yako ili uwe huru kujiuliza na kujijibu maswali haya matatu. (1) Je wakati serikali inatoa muda maalum kwa wamachinga wote kuondoka katika maeneo hayo, hao wamachinga walikuwa wapi? Kenya, Zambia au Uganda? Swali la pili (2) Je kama serikali ilitoa muda na hao wamachinga wakaipuuza, unafikiri wa kulaumiwa hapa ni serikali iliyotoa onyo zaidi ya miezi miwili iliyopita au ni hao waliopuuza onyo la serikali? Swali la tatu (3) Je ikiwa vyama vya upinzani vyote huwachukulia hatua wanachama au viongozi wao wote wanaoenda kinyume na utaratibu au sheria za chama, je mtu anaepuuza maagizo ya viongozi wa serikali akichukuliwa hatua na serikali kuna kosa gani?
 
Mkuu tumia akili uliyopewa na Mungu wako ili uuone ukweli, achana na hiyo akili uliyopandikizwa na wanasiasa njaa wanaotafuta kujaza matumbo yao na familia yao kupitia mgongo wa matatizo yao. Hebu waombe viongozi wako wa upinzani wakurudishie akili yako ili uwe huru kujiuliza na kujijibu maswali haya matatu. (1) Je wakati serikali inatoa muda maalum kwa wamachinga wote kuondoka katika maeneo hayo, hao wamachinga walikuwa wapi? Kenya, Zambia au Uganda? Swali la pili (2) Je kama serikali ilitoa muda na hao wamachinga wakaipuuza, unafikiri wa kulaumiwa hapa ni serikali iliyotoa onyo zaidi ya miezi miwili iliyopita au ni hao waliopuuza onyo la serikali? Swali la tatu (3) Je ikiwa vyama vya upinzani vyote huwachukulia hatua wanachama au viongozi wao wote wanaoenda kinyume na utaratibu au sheria za chama, je mtu anaepuuza maagizo ya viongozi wa serikali akichukuliwa hatua na serikali kuna kosa gani?
Hapa naona unaharisha tu. Hao wapinzani wanahusiana vipi na hili suala!? Wapinzani ndio wanaweza kuwafidia waliodhulumiwa mali zao!? Akili yao haiko huru ndio maana unaendelea kuleta porojo tu za kisiasa hapa. Kaa pembeni fool!
 
Back
Top Bottom