Machinga waandamana Mwanza leo

Machinga waandamana Mwanza leo

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
IMG_20211023_182906.jpg




Mytake: Hakika Magufuli asingeruhusu watanzania wa hali ya chini kunyanyasika ndani ya nchi yao. Tupo zama hatari sana kwa wasio na pesa.
 
View attachment 1984505

Mytake: Hakika Magufuli asingeruhusu watanzania wa hali ya chini kunyanyasika ndani ya nchi yao. Tupo zama hatari sana kwa wasio na pesa.
Ninutaratibu tuu. Ccm iliwalea vibaya hawa jamaa.
Hakuna umachinga wa kuweka meza na vibanda.. Watembeze mizigo yao. Wanao weka meza ni wajasiria mali sio wamachnga
 
View attachment 1984505

Mytake: Hakika Magufuli asingeruhusu watanzania wa hali ya chini kunyanyasika ndani ya nchi yao. Tupo zama hatari sana kwa wasio na pesa.
Acha upumbavu,kwamba machinga wa Mwanza ndio spesho Sana sio,kila kitu lazima kiwe kwenye utaratibu..

Mikoa mingine machinga wameheshimu mpango wa serikali sasa hao wa huko veepe?
 
Back
Top Bottom