Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hawajui kama vipo vichapo vya kuchakaa au vile vichapo vya mbwakoko🏃.View attachment 1984505
Mytake: Hakika Magufuli asingeruhusu watanzania wa hali ya chini kunyanyasika ndani ya nchi yao. Tupo zama hatari sana kwa wasio na pesa.
Kwenye hayo ya kiimani siwezi thibitisha Wala kutia neno kwani no makubwa na ya kiimani zaidi.Wawape tu kichapo mtetezi wao alishafariki yupo peponi sasa hivi anasikitika tu watu wake wanavyoteseka.
Ninutaratibu tuu. Ccm iliwalea vibaya hawa jamaa.View attachment 1984505
Mytake: Hakika Magufuli asingeruhusu watanzania wa hali ya chini kunyanyasika ndani ya nchi yao. Tupo zama hatari sana kwa wasio na pesa.
Peponi hawezi kwenda yule kiongozi wa shetani aina ya kina Sabaya na Bashite.Wawape tu kichapo mtetezi wao alishafariki yupo peponi sasa hivi anasikitika tu watu wake wanavyoteseka.
Labda ile nyumba waliyoijenga kukinga lile kaburi lake ndio iwe pepo.Wawape tu kichapo mtetezi wao alishafariki yupo peponi sasa hivi anasikitika tu watu wake wanavyoteseka.
Wakati katengeneza mazingira ya usafi was Jiji na kuchipuaupya biashara zilizo uwawa na mtindo holela wa watu hao wakutokuwa na utaratibu.Haa Teh
Wanataka RC Atimuliwe
Kwamba mama yao atarembua na kubana sauti atasema waachwe tu,Michezo tu ya CCM hio, hamna kitu hapo
Wait and see BroKwamba mama yao atarembua na kubana sauti atasema waachwe tu,
Ile michezo yao yakutengeza tatizo badae unalitatua unakua legacy ..😀😄
Acha upumbavu,kwamba machinga wa Mwanza ndio spesho Sana sio,kila kitu lazima kiwe kwenye utaratibu..View attachment 1984505
Mytake: Hakika Magufuli asingeruhusu watanzania wa hali ya chini kunyanyasika ndani ya nchi yao. Tupo zama hatari sana kwa wasio na pesa.
Tusubiri Nini mutu ya PgoWait and see Bro
Mama hana huo ujinga wa mihemkoHaa Teh
Wanataka RC Atimuliwe
CCM watajifanya kupindua meza, ili waonekane watakatifuTusubiri Nini mutu ya Pgo
Hakuna ambaye angeweza kuandamana enzi zake. Sasa hivi inawezekana watu wakaanza kuandamana andamana.Wawape tu kichapo mtetezi wao alishafariki yupo peponi sasa hivi anasikitika tu watu wake wanavyoteseka.