mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,855
Wangekua wanandoto juu ya kesho yao...Hapo wangeimba katiba mpya iwatambue rasmi...ili wasbughudhiwe tena...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinajengwa juu ya mtaro na choo hapo hapo mtaroni, ndio maana hata vipindupindu ni tatizo kwetu.Kibanda kikijengwa juu ya mtaro wewe kinakuzuia nini kufanya maisha yako?
Na usafi wa hiyo mitaro unafanyikaje? Angalia uchafu ulikuwa ushakuwa kero. Hakuna namna ndugu hili jambo halitaki hasira,tukubali Magufuli mpenda sofa aliwajaza upepo ili mtaji wake kisiasa Ila lilikuwa ni tatizo.Kibanda kikijengwa juu ya mtaro wewe kinakuzuia nini kufanya maisha yako?
Kwa yeyeyote mwenye akili ambaye sii kichaa at wapuuza na mambo Yao yote🤸.CCM watajifanya kupindua meza, ili waonekane watakatifu
Uzuri leo hayukoView attachment 1984505
Mytake: Hakika Magufuli asingeruhusu watanzania wa hali ya chini kunyanyasika ndani ya nchi yao. Tupo zama hatari sana kwa wasio na pesa.
Nenda pale mwananyamala hosp. Utapata jibu na kwa takwimu.Mara ya mwisho umeskia lini ishu ya kipindupindu?
Lakin pia angeruhusu miji ipangwe. Kila maamuzi magum yanakuja na riskView attachment 1984505
Mytake: Hakika Magufuli asingeruhusu watanzania wa hali ya chini kunyanyasika ndani ya nchi yao. Tupo zama hatari sana kwa wasio na pesa.
Tupe maana ya usatili kwanza na utuambie msaliti ni yupi, mzalendo maslahi binafsi au mzalendo was kweli na utuambia mzalendo wa kweli na yule maslahi binafsi.Yupo mahala pema peponi anaona usaliti unaoendelea
View attachment 1984505
Mytake: Hakika Magufuli asingeruhusu watanzania wa hali ya chini kunyanyasika ndani ya nchi yao. Tupo zama hatari sana kwa wasio na pesa.
Huyo mpuuzi achana nae! Badala ya kushauri anashabikia waondolewe bila kupewa maeneo!Mara ya mwisho umeskia lini ishu ya kipindupindu?
Mara ya , mwisho kusikia kipindupindu ni lini?Kinajengwa juu ya mtaro na choo hapo hapo mtaroni, ndio maana hata vipindupindu ni tatizo kwetu.
Kuwapenda watu wa chini hakumaanishi sheria za nchinzipindishwe ili kundi flan lifaidi lingine liumie. Sheria lazima ifuatwe na makundi yote. Haijalishi hali zaoYule mzee aliwapenda kwa dhati watu wa hali ya chini...alipenda kuona wakipata ugali wao bila bugdha...
Kibanda kikijengwa juu ya mtaro wewe kinakuzuia nini kufanya maisha yako?
Wameomba kibali wakapewa? Mbona wengine wananyimwa vibali vya kuandamana!View attachment 1984505
Mytake: Hakika Magufuli asingeruhusu watanzania wa hali ya chini kunyanyasika ndani ya nchi yao. Tupo zama hatari sana kwa wasio na pesa.
Peponi siyo kwa babu yakoPeponi hawezi kwenda yule kiongozi wa shetani aina ya kina Sabaya na Bashite.
Wake moto na MaCCM yote..
Pepo siyo kwa babu yako!Labda ile nyumba waliyoijenga kukinga lile kaburi lake ndio iwe pepo.
Mama yako ndio anarembua?Kwamba mama yao atarembua na kubana sauti atasema waachwe tu,
Ile michezo yao yakutengeza tatizo badae unalitatua unakua legacy ..[emoji3][emoji1]