je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Hawa jamaaa wamezidi aiseee hadi barabaran wnaapanga vitu. Hapa mbagala ni purukushani tupu.. Bado na hawa boda boda ni vurugu nyingine hiii.... Nchi kama haina mtu wa kutoa amri...... Watamzania tunaishi kwa kuogopana sana kwa kigezo cha kunyimwa kura.