Machinga wachachamaa Mwanza hali ni tete wanarusha mawe kwenye maduka

Machinga wachachamaa Mwanza hali ni tete wanarusha mawe kwenye maduka

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Machinga wanarusha mawe maduka ya watu na wamefunga barabara wameweka mawe barabarani serikali iwasaidie wananchi Hawa.


====
Imedaiwa kuwa vurugu zilizotokea ni kati ya wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga kukwaruzana na Mgambo ambao walikuwa na zoezi la kuwatoa kwenye maeneo ya Mtaa wa Makoroboi, katikati ya Jiji la Mwanza.
 
Kunywa maji mengi shusha pumzi af uendelee kuandika mkuu.

Mwanza kunani
 
Ukiandika tu "ni kweli" kwamba vyanzo vyako vimethibitisha bado unakwama.Sababu ni nini?Walitafuta suluhu?Ikawaje hadi uamuzi iwe kurusha "majiwe"?
Kuhusu sababu na Suluhu hayo yatajulikana baadae.

Bt kuhusu kuwepo tukio Hilo ndo nimethibitisha kupitia vyanzo vya kuaminika.
 
Back
Top Bottom