Machinga wachachamaa Mwanza hali ni tete wanarusha mawe kwenye maduka

Machinga wachachamaa Mwanza hali ni tete wanarusha mawe kwenye maduka

MSIMAMO MKUU WA MKOA MWANZA MACHINGA KURUDI MJINI! TUACHE SIASA !


Bw. Adam Malima mkuu wa mkoa wa Mwanza maeneo yapo maalum kwa machinga ili waweze kutoa huduma bora.

Mkuu wa mkoa anasema Nafahamu kuna watu wameshategeneza namna kwa kuandaa waandishi wa habari halafu kuanzisha vurugu kipindi cha Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma ili kumtikisa mwenyekiti wa CCM taifa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan.

Mkuu wa mkoa anaoongeza kuwa jiji la Mwanza ni kubwa sana hivyo si vizuri na haiwezekani wamachinga kuweka sehemu moja inabidi kila kitongoji kuwa na sehemu maalum ya ajili ya masoko, sehemu za machinga na mitaa ya maduka kwa ajili ya kutoa huduma kwa wakazi wa jiji kubwa la Mwanza.


Mkuu wa mkoa awaasa wamachinga kuwa makini wasitumike vibaya na baadhi ya watu wanaotengeneza matukio ili kuyumbisha serikali ya rais Samia Suluhu Hassan.

Hayo yamejiri leo tarehe 22 December 2022 wakati mkuu wa mkoa wa Mwanza akizungumzia katika kikao-kazi baina ya serikali na viongozi wa machinga kuhusu hali ya jiji la Mwanza na mkakati wa kuufanya mji wa Mwanza kuwa umepangika na kuleta fursa mbalimbali ambazo majiji mengine duniani yanafaidi ikiwemo utalii, makao makuu ya makampuni makubwa, biashara na mji wa kisasa wenye makazi yanayoeleweka.
 
MSIMAMO MKUU WA MKOA MWANZA MACHINGA KURUDI MJINI! TUACHE SIASA !


Bw. Adam Malima mkuu wa mkoa wa Mwanza maeneo yapo maalum kwa machinga ili waweze kutoa huduma bora.

Mkuu wa mkoa anasema Nafahamu kuna watu wameshategeneza namna kwa kuandaa waandishi wa habari halafu kuanzisha vurugu kipindi cha Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma ili kumtikisa mwenyekiti wa CCM taifa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan.

Mkuu wa mkoa anaoongeza kuwa jiji la Mwanza ni kubwa sana hivyo si vizuri na haiwezekani wamachinga kuweka sehemu moja inabidi kila kitongoji kuwa na sehemu maalum ya ajili ya masoko, sehemu za machinga na mitaa ya maduka kwa ajili ya kutoa huduma kwa wakazi wa jiji kubwa la Mwanza.


Mkuu wa mkoa awaasa wamachinga kuwa makini wasitumike vibaya na baadhi ya watu wanaotengeneza matukio ili kuyumbisha serikali ya rais Samia Suluhu Hassan.

Hayo yamejiri leo tarehe 22 December 2022 wakati mkuu wa mkoa wa Mwanza akizungumzia katika kikao-kazi baina ya serikali na viongozi wa machinga kuhusu hali ya jiji la Mwanza na mkakati wa kuufanya mji wa Mwanza kuwa umepangika na kuleta fursa mbalimbali ambazo majiji mengine duniani yanafaidi ikiwemo utalii, makao makuu ya makampuni makubwa, biashara na mji wa kisasa wenye makazi yanayoeleweka.

Kwamba mkuu wa Mkoa alikuwa anajua kinachoendelea.

Ngoja tuone.
 
Machinga wanarusha mawe maduka ya watu na wamefunga barabara wameweka mawe barabarani serikali iwasaidie wananchi Hawa.


====
Imedaiwa kuwa vurugu zilizotokea ni kati ya wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga kukwaruzana na Mgambo ambao walikuwa na zoezi la kuwatoa kwenye maeneo ya Mtaa wa Makoroboi, katikati ya Jiji la Mwanza.
Zao la muovu Jiwe.
 
Machinga wanarusha mawe maduka ya watu na wamefunga barabara wameweka mawe barabarani serikali iwasaidie wananchi Hawa.


====
Imedaiwa kuwa vurugu zilizotokea ni kati ya wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga kukwaruzana na Mgambo ambao walikuwa na zoezi la kuwatoa kwenye maeneo ya Mtaa wa Makoroboi, katikati ya Jiji la Mwanza.
Kumbe mwanza kuna maghorofa yaliyochipuka katikati ya hayo majumba yenye paa za mabati ya kutu?

Halafu mnapafananisha na Geneva ya Africa.
 
Kwamba mkuu wa Mkoa alikuwa anajua kinachoendelea.

Ngoja tuone.

Inasemekana ndani ya chama dola kongwe CCM kuna gang / genge la mabaki ya awamu ya 5 linataka kuleta mtafaruku kwa kila mbinu. Mtu kutoka Gambosh Geita shamba na yule wa Kawe wilaya tajiri pwani wanakwenda Mwanza kuwavuruga viongozi wenzie ktk chama, serikali Mwanza na hata Bungeni Dodoma.
 
Gamboshi waonesha makeke, waminika na zana za asili

 
Tutawavunja miguu naona wanasahau kuwa hii sio serikali ya wanyonge (wajinga wa magufuri)
 
Wamerudi wanapanga mbele ya maduka ya watu wanaziba njiaa yan changamoto sanaa,,ni heri wangeweka utaratibu asbh na mchana wasipange vitu,warudi jion amaa usiku aiseeee ni changamoto mwanza kwa sasaa
 
Wamerudi wanapanga mbele ya maduka ya watu wanaziba njiaa yan changamoto sanaa,,ni heri wangeweka utaratibu asbh na mchana wasipange vitu,warudi jion amaa usiku aiseeee ni changamoto mwanza kwa sasaa
Mbona kuna wakati waliondolewa wote kabisa?
Uzembe wa serikali ndo maana wamerudi
 
Haki haitafutwi kwa fujo mwisho wa siku unaumia unaiacha familia yako inakutegemea
 
Serikali inawalea sana hawa wapuuzi.

Ulishaona wapi mtu anafanyia biashara barabarani.
Imeamua tu kuwalea hawa jamaa, sasa jiji zima kubwa vile town kabisa unakuta mtu kaweka shanga vikombe mabeseni barabarani anauza..
 
Mbona kuna wakati waliondolewa wote kabisa?
Uzembe wa serikali ndo maana wamerudi
Yes ni uzembe wa serikal plus siasa ila wangekua wanarud jion sio mchana ilawao sasa asbh na mapemaa wanapanga vitu ndan ya stend ya daladala inashangaza
 
Back
Top Bottom