Mwaka mmoja uliopita agizo la kuwapanga Machinga lilitolewa. Mwaka mmoja baadaye soko la kisasa Dodoma limekamilika limegharimu Tsh Bilioni 9 na sasa limeanza kutumika.
Lengo la soko hilo ni kuwaepusha Machinga na ajali zilizotokana na kufanya biashara pembezoni mwa barabara pia wanarasimishwa, na wataweza kupata huduma za kifedha na kuwa sehemu salama zaidi.
Rais Samia Suluhu amewajali wamachinga.
Lengo la soko hilo ni kuwaepusha Machinga na ajali zilizotokana na kufanya biashara pembezoni mwa barabara pia wanarasimishwa, na wataweza kupata huduma za kifedha na kuwa sehemu salama zaidi.
Rais Samia Suluhu amewajali wamachinga.