Machinga wapata neema Dodoma

Machinga wapata neema Dodoma

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Mwaka mmoja uliopita agizo la kuwapanga Machinga lilitolewa. Mwaka mmoja baadaye soko la kisasa Dodoma limekamilika limegharimu Tsh Bilioni 9 na sasa limeanza kutumika.

Lengo la soko hilo ni kuwaepusha Machinga na ajali zilizotokana na kufanya biashara pembezoni mwa barabara pia wanarasimishwa, na wataweza kupata huduma za kifedha na kuwa sehemu salama zaidi.

Rais Samia Suluhu amewajali wamachinga.
 
Duuh
Mwaka mmoja uliopita agizo la kuwapanga Machinga lilitolewa. Mwaka mmoja baadaye soko la kisasa Dodoma limekamilika limegharimu Tsh Bilioni 9 na sasa limeanza kutumika. Lengo la soko hilo ni kuwaepusha Machinga na ajali zilizotokana na kufanya biashara pembezoni mwa barabara pia wanarasimishwa, na wataweza kupata huduma za kifedha na kuwa sehemu salama zaidi.

Rais Samia Suluhu amewajali wamachinga.
Duuh Kama hauko eneo la tukio au sio muhusika au mhanga wa Hilo zoezi ni Kazi Sana kujadili ufanisi wa Hilo Jambo.
 
Weka picha
FgOcKuGX0AIA5M4.jpg

Wamachinga wameanza kulamba asali acha tuseme Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi
 
Aisee huu utawala kweli kuna watu wanalamba asali, yaani ujenzi ule wa soko la machinga ndio sawa na BILIONI 9????.
Hivi kwanini mnamdharau sana sa100 lakini.
Soko ni la kisasa mzee pita pale ulione Rais Samia Suluhu anahakikisha anaboresha mazingira ya kufanyia biashara
 
hatari sana, wamachinga mliowachomeka chomeka ndio mnawaleta kwenye camera waseme siasa tu, lakini wale wenyewe mmewakata majina yao wanajililia mtaani tu. Hatari sana hii serikali yenu
 
Aisee huu utawala kweli kuna watu wanalamba asali, yaani ujenzi ule wa soko la machinga ndio sawa na BILIONI 9????.
Hivi kwanini mnamdharau sana sa100 lakini.
Issue sio hiyo 9Billion with a capital B....Mimi nawaza hao Machinga watakua wanafanya Biashara ipi kurudisha hiyo Investment na kwa muda gani!?
 
Wanakaa wamachinga wangapi?
Mwaka mmoja uliopita agizo la kuwapanga Machinga lilitolewa. Mwaka mmoja baadaye soko la kisasa Dodoma limekamilika limegharimu Tsh Bilioni 9 na sasa limeanza kutumika.

Lengo la soko hilo ni kuwaepusha Machinga na ajali zilizotokana na kufanya biashara pembezoni mwa barabara pia wanarasimishwa, na wataweza kupata huduma za kifedha na kuwa sehemu salama zaidi.

Rais Samia Suluhu amewajali wamachinga.
 
madai yako bila picha ni batili
Picha mdau kaweka hapo chini, yaani ni machuma chuma tu yamechomelewa yakawekwa paa kwa juu chini paving...baasi, yaani pale hardly kama imetumika bilioni 3 na zikaisha!
Amini ninachokuambia naishi Dodoma nimepaona kwa macho yangu!
 
Soko ni la kisasa mzee pita pale ulione Rais Samia Suluhu anahakikisha anaboresha mazingira ya kufanyia biashara
Mkuu labda kama na wewe ni mnufaika wa huo mradi ila hakuna ujenzi wa bilioni 9 pale!
Wazo ni zuri sana hatukatai ila upigaji wa kufa mtu umefanyika!!.
 
Issue sio hiyo 9Billion with a capital B....Mimi nawaza hao Machinga watakua wanafanya Biashara ipi kurudisha hiyo Investment na kwa muda gani!?
Mkuu wapo kisiasa zaidi,Idadi ya wamachinga inaogezeka mara mbili au zaidi kila mwaka.
Tatizo sio kuwa wateja wanaoogezeka mara mbili na nusu kila mwaka,hapana.Wamachinga ni kundi kubwa la wananchi hasa vijana wasiokuwa na ajira wakakimbilia kwenye umachinga.
Kama kweli serikali iko serious kuwasaidia watu hao,wawezeshe kwa kuwaandalia mitaji ya maendeleo kama kilimo cha umwagiliaji,uchimbanji wa madini,viwanda vidogo vya kusindika matunda,nafaka,miwa,ufugaji wa kuku wa mayai,uvuvi wa kutumia vizimba n.k.
 
Mwaka mmoja uliopita agizo la kuwapanga Machinga lilitolewa. Mwaka mmoja baadaye soko la kisasa Dodoma limekamilika limegharimu Tsh Bilioni 9 na sasa limeanza kutumika.

Lengo la soko hilo ni kuwaepusha Machinga na ajali zilizotokana na kufanya biashara pembezoni mwa barabara pia wanarasimishwa, na wataweza kupata huduma za kifedha na kuwa sehemu salama zaidi.

Rais Samia Suluhu amewajali wamachinga.
Facilities kama hizo zinajengwa Dar,Iringa,Tunduma na Mwanza.
 
Back
Top Bottom