Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani, hayo mabati ndo bilioni 9?View attachment 2401283
Wamachinga wameanza kulamba asali acha tuseme Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi
Nimeliona pale kumbe ndio B tisa zimetumika pale 🤔🤔🤔Mwaka mmoja uliopita agizo la kuwapanga Machinga lilitolewa. Mwaka mmoja baadaye soko la kisasa Dodoma limekamilika limegharimu Tsh Bilioni 9 na sasa limeanza kutumika.
Lengo la soko hilo ni kuwaepusha Machinga na ajali zilizotokana na kufanya biashara pembezoni mwa barabara pia wanarasimishwa, na wataweza kupata huduma za kifedha na kuwa sehemu salama zaidi.
Rais Samia Suluhu amewajali wamachinga.
Tumeshapigwa pale Yani wamesimamisha nguzo wakapiga kenchi na bati ndio 9bilionsLike ndo solo la 9bills [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata million 1000 hazifiki pale
Lile la Ndugu Yai vipiRais Samia Suluhu amewajali wamachinga
Inawezekana ukijumuisha na hayo Magali yanayoonekana pamoja na hizo nyumba pembenWamachinga sasa wanakua wafanya biashara rasmi watakopesheka kama wafanyabiashara wengi sasa hapo shida iko wapi bro Rais Samia Suluhu anaendelea kuupiga mwingi
Hapo ukute kijumba cha mlizi ni milini 300Aisee huu utawala kweli kuna watu wanalamba asali, yaani ujenzi ule wa soko la machinga ndio sawa na BILIONI 9????.
Hivi kwanini mnamdharau sana sa100 lakini.
Wanasahau kuwa kila mwaka wanazaliwa wamachinga wapya, na soko lililojengwa halitoshi hata waliopo.Bilioni 9 bora wangejenga VETA.Sidhani kama kuna kijana anaweza kuwa anamafunzo ya veta akatamani kuwa machinga au bodabodaSoko kubwa ila sio kwa bil 9,
Bil 9 nyingi sana
Ila hapa kiukweli pesa imeliwa.DaaNaona kama mabanda ya kuku tu
Lamba Asali Ndiyo Muda Huu Kila Mtu Anahaha Kuipata ASALI MbichiIla hapa kiukweli pesa imeliwa.Daa
Siku UPUNGUANI wakuabudu watu ukiwaisha ndio Nchi itapata maendeleo Ila mpaka wajinga mko wengi sanaMwaka mmoja uliopita agizo la kuwapanga Machinga lilitolewa. Mwaka mmoja baadaye soko la kisasa Dodoma limekamilika limegharimu Tsh Bilioni 9 na sasa limeanza kutumika.
Lengo la soko hilo ni kuwaepusha Machinga na ajali zilizotokana na kufanya biashara pembezoni mwa barabara pia wanarasimishwa, na wataweza kupata huduma za kifedha na kuwa sehemu salama zaidi.
Rais Samia Suluhu amewajali wamachinga.
Tatizo connection mkuu,mi ningelamba aiseeLamba Asali Ndiyo Muda Huu Kila Mtu Anahaha Kuipata ASALI Mbichi
Ndiyo Hawa Waliokuwa Kalyanda Walipopigwa Wakaja KulalamaSiku UPUNGUANI wakuabudu watu ukiwaisha ndio Nchi itapata maendeleo Ila mpaka wajinga mko wengi sana
Wewe Ungekuwa Hata Unauza Chakula Pale Ungelamba AsaliTatizo connection mkuu,mi ningelamba aisee