Machinga warejea upya Mwenge

Mama ukicheka na Nyani...
Waafrika bila kuburuzwa huwa hatuheshimu Mamlaka! Ngoja tuone
 
Viongozi hawataki kumsaidia kazi Rais.
 
Zilikuwa propaganda tu kusema et wametoka kwa hiari.

Maeneo kama Makoroboi kwa Jiji la Mwanza machinga huondolewa kwa mabomu toka enzi za RC Mashishanga halafu leo watoke kirahisi hivyo!😁.

Watarudi maeneo yote ya awali labda pajengwe kambi za jeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…