Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Machinga ni wafanyabiashara mbinu pekee ya kuwatoa barabarani ni kuwasaidia kukuza mitaji yao.Pamoja na Kampeni iliyogharimu pesa nyingi ya kuhamisha machinga sehemu maalum. Kwa Sasa wamerudi upya wakiupiga mwingi
View attachment 2221705
Si Mwenge tu. Wameshaanza juridical taratibuSerikali imeshindwa
Nimetembelea Rock City pale Makoroboi kama kawa kama dawa!Pamoja na Kampeni iliyogharimu pesa nyingi ya kuhamisha machinga sehemu maalum. Kwa Sasa wamerudi upya wakiupiga mwingi
View attachment 2221705
PoleNgumbaru ndo zetu.
Ndiyo 'uthibitisho' Kamili kuwa 'Tanzania' kwa sasa hakuna 'Serikali' thabiti wala 'Kiongozi' mwenye Mamlaka na Ushawishi.Pamoja na Kampeni iliyogharimu pesa nyingi ya kuhamisha machinga sehemu maalum. Kwa Sasa wamerudi upya wakiupiga mwingi
View attachment 2221705