KERO Machinjio ya Kimara yanatiririsha maji kwenye mitaro na kuchafua hewa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Machinjio ya Kimara yanatupa wakati mgumu majirani. Maji yanoyotiririshwa kwenye mitaro yanafanya uchafuzi
wa hali ya hewa.

Serikali iangalie upya suala hili


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…