Naamini unamaanisha na si kwamba unataka ukalipue, Mbezi kibanda cha mkaa, ukishuka kama upo kwenye usafiri wa Jumuia unarudi nyuma kidogo then unapinda kulia,karibu na kanisa la Kilutheri, ulizia machinjio ya kitimoto (jamaa mwenye machinjo anmaitwa Kiliwe)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.