Macho kuwasha nini tatizm

Macho kuwasha nini tatizm

Chuck j

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
2,366
Reaction score
828
Nawashwa na macho sana,hii ni week ya 3,,pl msaada pls
 
Nawashwa na macho sana,hii ni week ya 3,,pl msaada pls
itakuwa macho yako yanaathiriwa na mwanga, hasa mwanga mkali
lakini pia inaonekana huoni mbali kwa ufasaha, hivyo kama hautumii miwani unakuwa unazilazimisha neva za jicho (optical nerves) kufanya kazi na hii hupelekea neva ku-overlap, ndo maana unasikia kama kuwasha.!
hata mimi nilikuwa na tatizo kama hili, kwa sasa natumia miwani, na tatizo limeisha..
 
itakuwa macho yako yanaathiriwa na mwanga, hasa mwanga mkali
lakini pia inaonekana huoni mbali kwa ufasaha, hivyo kama hautumii miwani unakuwa unazilazimisha neva za jicho (optical nerves) kufanya kazi na hii hupelekea neva ku-overlap, ndo maana unasikia kama kuwasha.!
hata mimi nilikuwa na tatizo kama hili, kwa sasa natumia miwani, na tatizo limeisha..
Ni miwani yoyote au inabidi nikapime macho kwa ajili ya miwani? Mimi pia nina tatizo hilo hadi sasa na sababu ulizoeleza kama kisababishi naona zinafanana nami kwani hii hunitokea nikikaa kwenye Computer kwa muda mrefu yanaanza kuwasha!
Na ni kero kweli kweli kwani inafika wakati mtu mzima unafikicha macho kama mtoto mdogo kwa kweli hali huwa mbaya sana mpaka wakati mwingine hulazimika kuacha kutumia computer kwa muda mrefu hata kama nina kazi za kufanya kwa kuhofia matatizo yatokanayo na matumizi hayo.

Msaada wako plz.
 
Ni miwani yoyote au inabidi nikapime macho kwa ajili ya miwani? Mimi pia nina tatizo hilo hadi sasa na sababu ulizoeleza kama kisababishi naona zinafanana nami kwani hii hunitokea nikikaa kwenye Computer kwa muda mrefu yanaanza kuwasha!
Na ni kero kweli kweli kwani inafika wakati mtu mzima unafikicha macho kama mtoto mdogo kwa kweli hali huwa mbaya sana mpaka wakati mwingine hulazimika kuacha kutumia computer kwa muda mrefu hata kama nina kazi za kufanya kwa kuhofia matatizo yatokanayo na matumizi hayo.

Msaada wako plz.
mimi navaa miwani 0.75, afu iko ''tinted'' hivi kewenye lens zake
ila wewe unaweza kuwa unahitaji lens tofauti na yakwangu coz tatizo linaweza kuwa limetofautiana ukubwa
nbi vizuri ukimwana daktari wa macho haraka coz nafahamu hilo tatizo ukiliacha utaanza kuona kwenye jicho kama kuna ''dark spot'' hivi, yani kama kuna kitu kimekugandia jichoni kinakuzuia usione vizuri and when it there matibabu yake ni very complicated (SPEAKING FROM PERSONAL EXPERIENCE)
 
mimi navaa miwani 0.75, afu iko ''tinted'' hivi kewenye lens zake
ila wewe unaweza kuwa unahitaji lens tofauti na yakwangu coz tatizo linaweza kuwa limetofautiana ukubwa
nbi vizuri ukimwana daktari wa macho haraka coz nafahamu hilo tatizo ukiliacha utaanza kuona kwenye jicho kama kuna ''dark spot'' hivi, yani kama kuna kitu kimekugandia jichoni kinakuzuia usione vizuri and when it there matibabu yake ni very complicated (SPEAKING FROM PERSONAL EXPERIENCE)
Thanx for caring mkuu, nitajitahidi kufuatilia kwa karibu kwani tatizo tulilonalo wataalamu wa fani ya macho naona bado ni utata. Nimewahi kuhudhuria kliniki fulani nikapewa dawa fulani baada ya kutumia drops hizo kwa muda ilikuwa inanisaidia wakati huo huo nilipokuwa naitumia once ilipokwisha tatizo lilirudi pale pale.

Nimewahi pia kupewa miwani baada ya kupima tatizo nililokutana nalo ni kwamba nikivaa miwani hiyo naona kama ardhi yote ina mabonde hivyo hata kutembea inakuwa shida.

Wadau walinitia moyo kwamba nikitumia baada ya muda fulani nitazoea baadaye nilifikia maamuzi kwamba tatizo hili jipya ni kubwa kuliko tatizo la msingi hivyo nikaamua kuacha kuivaa miwani hiyo, labda nijaribu kuivaa tena kwani experience ninayozungumzia hapa ni ya miaka mitatu iliyopita.

Na pia tatizo hili hunitokea mara nyingi kama nitatumia komputa kwa muda mrefu au kutumia simu ya mkononi katika mazingira yenya mwanga hafifu au kuangalia TV nikiwa karibu nayo sana na kwa muda mrefu.
 
Nawashwa na macho sana,hii ni week ya 3,,pl msaada pls

Pole sana, wakati mwingine kuwasha kwa macho kunatokana upo Allergic na kitu flani eg vumbi,uvundo,moshi au nguo iliyo kaa sana bila kuvaliwa, ne ukiyakuna sana utaondoa kope na kuweka vidonda,nenda kwa Dr aangalie macho na ukiweza kapime allerg.
 
Back
Top Bottom