Macho kuweka rangi ya kawia na vijikovu kidogo

kjembe

Member
Joined
Jan 9, 2015
Posts
45
Reaction score
29
Ndugu wana jamii Forums waslaam!
nimekuwa na tatizo la macho ambapo hadi sasa ninalazimika kutumia miwani ili kuona mbali kwani baada ya kupima nilibaini jicho moja la kushoto kuwa na uoni hafifu, hivyo nilishauriwa kutumia miwani ili kulinda hili moja la kulia.

Lakini ninashangazwa na macho kutengeneza kama kovu au rangi ya kahawia kwa macho yote mawili ninaomba msaada wenu tafadhali maana ninahisi dalili za muwasho hasa kwenye kope za chini na kupelekea kuyapikicha sana macho.

 
Duuh pole ila nahisi ungerudi tena kwa daktari ingekua vzuri sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…