Macho ya askari yanaangalia nini?

Aione Mtela Mwampamba kwa uchambuzi zaidi.. Ni basi tu hii dunia sio yetu
Nasikia jamaa siku hizi yuko benchi utumishi kwenye pool anasubili kupangiwa kazi
 
HAPO JAMAA ANASEMA DAH KUMBE NDO MANA DAS KATUMBULIWA
 
Analinda kuna mbwa kule kushoto karibu na kalio la huyo dada! Nadhani anajua tabia za umbwa huwa wanang'ata makalio.
 
Anatizama maumbile ya nchi [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huyu mwanamke nampenda sana ; nipendi mbinu nataka ndoa kabisa ila nikioa sitak aendelee na siasa; atakaa nyumbani na biashara za ufugaji.Naomba connection.Serious bz with a serious gentleman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…