jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukitoka bush kuja dar utajihisi una akiri sana za kuona fursa kumbe wenzako wana henya na ishu hizo hizo kila siku
Mkuu upo mbeya sehemu gani?Naomba niwe wakala wako nipo huku mbeya. Nakutafuti mazao ya uwakika kwa bei ya faida
Sasa ulitaka nizungumzie wanawake wenye makalio makubwa?? Hata mtu wa Dar akienda mkoani ataziona fursa na kubaki kinywa wazUkitoka bush kuja dar utajihisi una akiri sana za kuona fursa kumbe wenzako wana henya na ishu hizo hizo kila siku
Rahisi eee
[emoji23] [emoji23]Ukitoka bush kuja dar utajihisi una akiri sana za kuona fursa kumbe wenzako wana henya na ishu hizo hizo kila siku
Mkuu,
[emoji23] [emoji23]Ukitoka bush kuja dar utajihisi una akiri sana za kuona fursa kumbe wenzako wana henya na ishu hizo hizo kila siku
Haaaaaahaaaaa umenikumbusha mm nilitoa embe tanga hadi buguruni pale ilibaki kidogo nimkimbie jamaa wa gari tumetoka kule nimempa 150,000 tumekubaliana 450,000 nampa baada ya mauzo sitasahau ile siku nilichomoka padogo sana nashkuru nilimpa hela yake!kuna kipindi miaka ya nyuma nilitoa pilipili hoho kutoka lukozi lushoto kuleta kariakoo, kilichonikuta, nilitamani nitelekeze mzigo sokoni nitoroke mwenye usafiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole sana mkuu...zile kuoza dak sifurikuna kipindi miaka ya nyuma nilitoa pilipili hoho kutoka lukozi lushoto kuleta kariakoo, kilichonikuta, nilitamani nitelekeze mzigo sokoni nitoroke mwenye usafiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lakini hukoma mkuu...!!Haaaaaahaaaaa umenikumbusha mm nilitoa embe tanga hadi buguruni pale ilibaki kidogo nimkimbie jamaa wa gari tumetoka kule nimempa 150,000 tumekubaliana 450,000 nampa baada ya mauzo sitasahau ile siku nilichomoka padogo sana nashkuru nilimpa hela yake!