jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
[emoji23][emoji23] hapo hajapangisha pango..hajalipa kijana..hajafuatwa na watu wa tra,leseni ya biashara..watu wa ukaguzi wa chakula tbs..bado gharama za usafi na ulizi..hapo hapo kwenye hiyo faida familia inataka ile...