Macho Yanayoongea....

Kasie..

Kaja kukutoa lunch...

"..Ukajikaza, ukamjibu kistaarabu.."

Nini haswa msingi wa kumjibu 'kistaarabu'..?


Btw, Heri ya mwaka mpya!

Niko hivyo... hata wanaonijia PM na lugha za kero huwa nawajibu kistaarabu tuu....
 

Huyo dada alikupenda kabla hujampenda, tofauti na huyu dogo yeye ndo ananiongelesha kwa macho, mmie sina habari nae..
 

Kasie habari za mchana,
.............................nimesoma neno baada ya neno katika hiyo simulizi yako,................................................... ila hapo kwenye neno lenye rangi ya nyekundu, ndo mi nataka unisaidie................................

..........................alafu ujue na mimi nna macho eeh,..............................kama noma........................

................................................"Nawe pia nikutakie Mchana mwema"

Wasalaam,

Mwenzetu
 

Hhahahahaha nilishikwa na kicheko kile cha kuona yaani wewe dogo baada ya kunisemesha kwa macho sasa unataka unitoe lunch ili ukanitongozee huko hehehehehehee. Ila nikaona nikicheka hicho kicheko ntampotezea ujasiri na kumtia hofu aanze kujikagua kuwa suruali imeachia u kiatu kimekatika. Hapo nilijikaza nisicheke....

Macho yako yako kama ya Guddu...!!?? aka Gudume??
 


....................................Chonde chonde,Bibi weye,.......................hala hala, hayo macho yawe na mipaka,ujue kuwa "Mume ni Mume hata akiwa gumegume ana sifa za mtume"..................................

............................................Asante kwa sifa hiyo ya Gudume,......................................................

Mwenzetu
 

Hhahahahahahahhaaa uko vizuri kwenye kutunga mashairi....

Macho kumchuziiii...

Macho yanayoongea hehehehehehee

Mchana mwema.
 
Vijana wengi saiv tunapenda wanawake Ambao wako naturally
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
mshamba_hachekwi
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…