Elections 2010 Machozi ndani ya daladala

Watanzania sasa wameelimika kwa kiwango cha kujiridhisha kwamba shida na taabu zote wanazozipata zimesababishwa na uongozi mbaya wa serikali ya thithiem. Ninachofurahi ni namna wananchi wanavyoapiza kwamba mwaka huu ndiyo kiama cha thithiem. Shime wananchi wote waliojiandikisha, msihau siku ya kwenda kuiadabisha thithiem tareh 31 Oktoba 2010.
 
Inatia moyo kuona kuwa taratibu watu wanafunguliwa kutoka kwenye utumwa wa CCM. Nimeshuhudia kwa macho yangu na hata sikuamini wale hardliners waliokuwa wanasupport CCM bila kuwa na sababu yoyote sasa wanaeleza ukweli. Wengi wanaamini kuwa kizazi hiki ni tofauti sana, na inaaminika ifikapo 2015 hali itakuwa mbaya sana kwani wengi hawatamjua 'Joseph' tena! Shime wapenda mabadiliko wote, tukitoe hiki chama na uozo wake wote!!
 
Libarikiwe tumbo lilizaa mwandishi wa makala hii. Nimetoa ombi maalum makala hii ichapwe kwenye magazeti na iigizwe na kurushwa kwenye Tv. Ni kati ya threadi bora ya mwezi huu, pamoja na ile ya mama muuza ndizi ya Dilunga.
 
A very touching story, Ukimwona huyo mama mwambie hata mimi sitampa kura JK!
 
Inatia huruma, Ukimwona huyo mama mwambie hayuko peke yake: Mimi na yeye na wengine wengi katutampa JK kura zetu. Tutampa anayestahili! Zimwi litujualo sasa linatumaliza. Lazima tulizuie!
 

Sio lazima ufika kwa Dr slaa na Baregu hata wewe sambaza kwa ndugu jamaa na marafiki zako wote
 
Very touching and emotional story! jamani !!!?? Siju ikama huyu JK anaelewa watu wanaishije huko mitaani especially the most vulnerables kama wakina mama na watoto!
 
Nimekusoma mkuu. Hata mi machozi yamelenga machoni. Lakini nauliza, mbona ile makala yako ya mkutano wa moro na mama wa ndizi ulitumia kiswahili fasaha kuliko makala hii?

Ni kweli this time haujawa fasaha sana(kiswahili) lakini ukweli umefika. PEople are fade up! Wanaoniudhi ni wale wanaosema, 'sitapiga kura, nikae foleni?'. Asubuhi jumapili tulivu tarehe 31 nitapitia mitaa yote ya sinza kwangu huku mapema saa kumi na moja kuwaamsha twende wote tukapige kura. Msinipige mkidhani mwizi
 
duuh hii ni huzuni kubwa naamini watanzania karibu wote excluding wale mapashikuna wa ccm ndivyo wanavyofeel hivyo, maana nilikuwa naongea na wife wangu akasema kama kungekuwa na muujiza hawa ccm waondoke basi mimi natamani ungefanyika, nikamwambia mungu yuko pamoja nasi watanzania, WE ARE TIRED JAMANI,
IT IS SO SAD
 
Nimekusoma mkuu. Hata mi machozi yamelenga machoni. Lakini nauliza, mbona ile makala yako ya mkutano wa moro na mama wa ndizi ulitumia kiswahili fasaha kuliko makala hii?

Ni kweli this time haujawa fasaha sana(kiswahili) lakini ukweli umefika. PEople are fade up! Wanaoniudhi ni wale wanaosema, 'sitapiga kura, nikae foleni?'. Asubuhi jumapili tulivu tarehe 31 nitapitia mitaa yote ya sinza kwangu huku mapema saa kumi na moja kuwaamsha twende wote tukapige kura. Msinipige mkidhani mwizi
 
Ndugu yangu Mubesi nashukuru kwa kutushirikisha kisa hiki kinachovuta na kuleta hisia kali. Binafsi machozi yamenilengalenga na hasa nilipopiga picha ya huyo mama mjamzito kupanda BAJAJ wakati anaenda kujifungua na hasa kama ni kwenye barabara yenye mashimo.

Naamini watanzania wamechoka na hali iliyopo sasa, na tarehe 31 Octoba 2010 hilo litaonyeshwa kwa kura zitakazopigwa. Tunachoomba ni tume ya uchaguzi kusimamia haki.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Kaka chozi limenitoka amini usiamini hii makala inatia huzinu sana.
NAMI NA AHIDI SINTO MPA KURA KIKWETE!
 
mimi nafikiri itategemea na mwendo wa dereva lakini usafiri wa bajaj unaweza kuokoa maisha hasa ukitumika katika maeneo ambayo hakuna huduma ya usafiri na mbali na vituo vya afya. Tembelea baadhi ya vijiji kamwe hutabeza usafiri wa bajaj. Huyo mama anabeza kwa sababu yuko Dar es salaam. Akina mama wanaobebwa katika baiskeli na bajaj ipi afadhali?
 
Siyo kwamba bajaj zinaogopwa na wajawazito tu bali zilipoingia kuna watu waliapiza kwa mwenyezi Mungu kwamba kamwe hawatapanda bajaj lakini siku zinaposonga mbele watumiaji wa bajaj wanaongezeka, ni kwa sababu ni usafari wa haraka na gharama za chini.
 

Kuna kipindi nilimuona Mchungaji Mtikila akitoka na kibajaji pale Wizara Ardhi akielekea Mahakama Kuu (I guess so kwani yeye ni nyumbani kwake huko)
 
Kuna kipindi nilimuona Mchungaji Mtikila akitoka na kibajaji pale Wizara Ardhi akielekea Mahakama Kuu (I guess so kwani yeye ni nyumbani kwake huko)
.

Ni mfano mzuri kuonyesha kwamba usafiri wa bajaj siyo wa kubezwa kama wengi wanavyotaka tuamini. Hapa Dar es saam umeokoa sana watu wa chini kumudu kufika sehemu mbalimbali na hata wafanyakazi.
 

NAOMBA UNIJIBU:-

1. Kwanini CCM hawakununua bajaji 200 kupeleka wilayani kwa ajili ya kampeni badala yake tena wakanunua mikonga 200 ? kumbuka mkonga mmoja ni 80 milioni soi kama ccm wangeamua kununua bajaji basi kwenye kila mkonga moja wangepata bajaj 20 kwa bai ya 4ml kwa bajaji, kwahiyo kwenye mikonga 200 wangepata bajaji 4000 na naamini kila balozi angekuwa na yake?

2. Je serekali na ccm ni nani mwenye huwezo, huoni kuwa kama CCM wanaweza kununua mikonga 200, srekali inaweza kununua ambulance 2,000 = (200 x 10 ) na zaidi ikitaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…