... zee linazeeka vibaya sana na damu za wasio na hatia mikononi! Fashisti tuliloaminishwa na tukaamini kwa miongo kadhaa ni bonge la komandoo lenye akili nyingi hali halisi ime-prove otherwise.Putin Hana Akili na ni Mzee wa hovyo.
Hii comment umeandika kwa machungu makubwa sana.Lakini walau umekiri Kherson kama mji umekombolewa na siku zote sote tunafahamu uliokombolewa ni mji lakini muhimu sana kwa eneo hilo.Naona sasa zile blah blah za mwanzo kutuambia ule ulikuwa mtego tu wa Russia mmeziacha.LISILOSEMWA:
Ukikomboa Hedaru hujakomboa Kilimanjaro.
Asilimia kubwa ya Kherson haijakombolewa, ni kamji kamoja ka pembezoni mwa Jimbo.
LISILOSEMWA:
Hali ni mbaya Jimboni DONBASS na LUHANSK . Waukraine wanazidi kurudi Nyuma .
JANA WAMEKUFA 30 ,
RUSSIA OFFENSIVE HUJO HAIJADILIWI.
Haha ha ha haaa
Mzee basi tufanye Russia wameshashindaLISILOSEMWA:
Ukikomboa Hedaru hujakomboa Kilimanjaro.
Asilimia kubwa ya Kherson haijakombolewa, ni kamji kamoja ka pembezoni mwa Jimbo.
LISILOSEMWA:
Hali ni mbaya Jimboni DONBASS na LUHANSK . Waukraine wanazidi kurudi Nyuma .
JANA WAMEKUFA 30 ,
RUSSIA OFFENSIVE HUJO HAIJADILIWI.
Haha ha ha haaa
Mzee basi tufanye Russia wameshashinda
au nakosea