Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa hizi ni sahihi kabisa... Jamaa kanenepa hatariAnafanya kazi ya Clearing & forward so kama una gari au makontena nipm nikuunganishe nae.. Mtu safi sana Dizzo
ilikuwa inaitwa kama mja wako ambapo nyimbo ya kama ya mike t+mja wako ya kwakejamaa nilikuwa namkubali sana,album yake ya kwanza enzi zile ni tape alichanga yeye na mac t mnyalu.....jina la album limenitoka kidogo ila side A ilikuwa ni mike t na side B ilkuwa ni mac D...
jamaa nilikuwa namkubali sana,album yake ya kwanza enzi zile ni tape alichanga yeye na mac t mnyalu.....jina la album limenitoka kidogo ila side A ilikuwa ni mike t na side B ilkuwa ni mac D...
asante kwa kumbukumbu mkuu,jamaa nilikuwa namkubali sana na kuna ngoma yake moja alitumia beat la juma nature inaniuma sana.Album inaitwa "Kama mja wako"
Kumbe ndio wewe, nipm nikuunganishe naye umpe shukrani hata kwa kuagiza kavitz kupitia kampuni yake.Nilimuonaga mitaa ya Ulongoni.ana kampuni ya kuclear mahari bandarini.jamaa ana roho ya kipekee.niliomba lift,alinipita na gari nikiwa na mimba ya miez saba kisha mbele kidogo akasimama akanipa lifti.kipindi hiko ni kama miaka minne iliopita. Sitamsahau yule jamaa.sijui yuko wapi sasa
Mkuu nilishanunua Passo.ila kuna ishu ikitiki nitakua naagiza vifaa used toka majuu nadhani nitamtafutaKumbe ndio wewe, nipm nikuunganishe naye umpe hata shukrani kwa kuagiza kavitz kupitia kampuni yake.
Wewe nipm tu hata umsalimie tu.Mkuu nilishanunua Passo.ila kuna ishu ikitiki nitakua naagiza vifaa used toka majuu nadhani nitamtafuta
Safi sana sio kama wale wanaokula unga kama nyokaHuyu jamaa yupo anafanya kazi clearing and forwarding, pia ana baa yake nafikiri maeneo ya Kiwalani. Haujapita mwaka niliona alifanya interview kwenye kipindi kimoja cha tv.
Tatizo nyota, siyo wasanii tu, hata kazi nyingine wewe utajitahidi kila njia lakini kazi bure, wenzio kidogo tu wanatusuwa.kuna wimbo alitoa 2011 mwishoni, ulikuwa ni wimbo mkali kwa kweli aliwashirikisha AY na FA, na video ilikuwa nzuri sana pia, sijui kwanini baadhi ya wasanii hata wakitoa nyimbo nzuri hawatambi!
sana tu, kitambo ikoKuna songi lake moja lakuitwa Suga mami amemshirikisha Dully nalikubali mpaka kesho kutwaaaa!!!