'...jamaa nlikuwa namkubali sana kipindi yuko WATEULE he used to do ragga dancehall and it was bomb asee kwa kipindi kile,mara akawa producer pale SOUND CRAFTER akiwa na jamaa mmoja wa kundi la B.D.P (Big Dogg Posse) anaitwa DREZZY CHIEF nae alikuwa ni mtu wa ragga sana pia,nikaskia anakula dawa akiwa yuko SOUND CRAFTER.................mara ya mwisho nilikuwa nae magomeni was in the morning kwenye cafe moja hivi alikuja kupata breakfast akaniambia yuko kwenye studio ya ALI BAUCHA known as BAUCHA'Z RECORDZ tukapeana contact nika-kick,toka hapo hatukuonana tena but i hope we will be together soon or later brother MUCH RESPEKT 'n' REST IN PEACE BLOOD,MISYU'