Mkuu habari hii tamu lakini naona umeandika harakaharaka na kuileta. Ongeza nyama, eleza kasema wapi ukiweza weka na chanzo cha habari husikaRaisi wa ufaransa Emmanuel Macron amesema utawala wa kidemokraisia unaelekea kufa duniani kote ikiwemo Marekani kwenye. Katika kile alichokiita mzozo wa kidemokrasia Macron amesema hali hiyo inatokana na ukandamizaji na hali ya mchafuko unaoletwa na demokrasia.
Original post ipo wapi mkuu? Citation? Au yote umetoa kichwani kwako?Raisi wa ufaransa Emmanuel Macron amesema utawala wa kidemokraisia unaelekea kufa duniani kote ikiwemo Marekani kwenye. Katika kile alichokiita mzozo wa kidemokrasia Macron amesema hali hiyo inatokana na ukandamizaji na hali ya mchafuko unaoletwa na demokrasia.
Uko sahihi kabisa mkuu aongeze nyama za kutoshaMkuu habari hii tamu lakini naona umeandika harakaharaka na kuileta. Ongeza nyama, eleza kasema wapi ukiweza weka na chanzo cha habari husika
Usoshalisti umefeli na ubepari umefali, kila mtu arudi kwenye utawala wake wa kimilaRaisi wa ufaransa Emmanuel Macron amesema utawala wa kidemokraisia unaelekea kufa duniani kote ikiwemo Marekani kwenye. Katika kile alichokiita mzozo wa kidemokrasia Macron amesema hali hiyo inatokana na ukandamizaji na hali ya mchafuko unaoletwa na demokrasia.
Raisi wa ufaransa Emmanuel Macron amesema utawala wa kidemokraisia unaelekea kufa duniani kote ikiwemo Marekani kwenye. Katika kile alichokiita mzozo wa kidemokrasia Macron amesema hali hiyo inatokana na ukandamizaji na hali ya mchafuko unaoletwa na demokrasia.
Lkn mbunye yake si ina utelezi?Madhara ya kuoa mtu mwenye umri sawa na Bibi yake haya.
Nao pia hauta kubalika na jamii zote pia hauta faa kwa jamii zote, ni ngumu kwa dunia nzima kuishi ndani ya chumba kimoja cha mfumo wa kiutawala hata wanyama porini hawa ishi hivyo.Kuna haja ya kuanzisha mfumo mpya wa utawala
Itakuwa imelegea na haina mnato ule yaani 'ameizing' (amazing)Lkn mbunye yake si ina utelezi?