Macron akiri demokrasia yaelekea kushindwa duniani.

Macron akiri demokrasia yaelekea kushindwa duniani.

Kama demokrasia inaleta machafuko na ukandamizaji basi udikteta utakuwa jehanamu kabisa.
Demokrasia ikifa kote duniani itakuwa msiba sana maana ulimwengu utarudi zama giza nene, badala ya kushangilia kama kibwengo kufa kwa Demokrasia ulitakiwa ukae chini na kulia kabisa.
Mleta mada angetupa angalau mbadala wa hiyo demokrasia inayokufa!
 
Hiyo ni taarifa tu.Si kazi ya mleta mada kutoa mbadala.Kila mmoja anaweza kuona kivyake.
Ni kweli kila mtu anaona kivyake, ndio maana mimi nimeona angetupa mbadala! Mpaka ameileta kaona ni mada fikirishi! Ama sivyo asingeileta hapa!
 
Raisi wa ufaransa Emmanuel Macron amesema utawala wa kidemokraisia unaelekea kufa duniani kote ikiwemo Marekani kwenye. Katika kile alichokiita mzozo wa kidemokrasia Macron amesema hali hiyo inatokana na ukandamizaji na hali ya mchafuko unaoletwa na demokrasia.
Hakuna mfumo wa utawala unaoweza kukidhi matakwa ya binadamu 💯% .Haitatokea na haijawahi kutokea!
 
Ni kweli kila mtu anaona kivyake, ndio maana mimi nimeona angetupa mbadala! Mpaka ameileta kaona ni mada fikirishi! Ama sivyo asingeileta hapa!
Mbadala mimi nishauona nasubiri na wengine wauone kivyao.
 
Hakuna mfumo wa utawala unaoweza kukidhi matakwa ya binadamu 💯% .Haitatokea na haijawahi kutokea!
Si tuliambiwa demokrasia ni kila kitu na sote tukaamini.Ikitokea hivvi sasa inafurahisha.Sisi waafrika hasa tutatia akili.ukijumlisha na ule msafara wa maraisi kwenye basi kule London
 
Si tuliambiwa demokrasia ni kila kitu na sote tukaamini.Ikitokea hivvi sasa inafurahisha.Sisi waafrika hasa tutatia akili.ukijumlisha na ule msafara wa maraisi kwenye basi kule London
Sidhani demokrasia ni kila kitu! Ni mojawapo tu ya vitu vingi kufanya jamii husika kutawala mustakabali wao!
 
Sidhani demokrasia ni kila kitu! Ni mojawapo tu ya vitu vingi kufanya jamii husika kutawala mustakabali wao!
Tuliambiwa hivyo na sisi wengi tukakubali hivyo ndio maana hatuishi kuitaja taja.Mi nilijuwa si chochote na haitadumu.Vizuri wale waliokuwa wakiisimamia ndio wa mwanzo kuona kwa macho yao kuwa si lolote.
 
Takbiiir Takbirr Takbir Allahu akbar..
Soon watagundua njia pekee ya kuongoza umma ni kupitia Quran na Sharia
Hata wenye hiyo imani tu hawaitaki na wanakimbilia nchi za magharibi. Hakuna watu wenye akili timamu watakubali kufuata utamaduni wa waarabu wa karne ya 7, nafuu hata tufuate mila zetu za asili za kiafrika kuliko binadamu kuchungana kama mifugo. Bure kabisa.
 
Takbiiir Takbirr Takbir Allahu akbar..
Soon watagundua njia pekee ya kuongoza umma ni kupitia Quran na Sharia
Mvaa kobazi hujawahi kuwa na akili , yaani nchi ziongozwe Kwa misingi ya vitabu vya mpuuzi mbaka watoto mmoja anayejiita mtume aliyetumwa na Mungu ?
Una akili wewe ?
 
Kwahiyo turudi kwenye uchifu na utemi??mleta mada una suggested nini.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom