Macvoice katika tuzo za kimataifa AEAUSA, mbona Ibraah na Tommy flavour siwaoni?

Macvoice katika tuzo za kimataifa AEAUSA, mbona Ibraah na Tommy flavour siwaoni?

Dong Jin

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2018
Posts
968
Reaction score
2,034
Majina ya wanaowania tuzo za Africa Entertainment Awards (AEAUSA) zinazotolewa huko marekani yimetoka. Moja kati ya vipengele katika tuzo hizo ni kipengele cha BEST NEW ARTIST ambapo to my great suprise nimekutana na jina la MACVOICE

Macvoice ana takiribani mwezi na siku kadhaa toka atambulishwe rasmi kama msanii mpya chini ya lebel ya NLM inayomilikiwa na Rayvanny.

Lakini cha kushangaza dogo keshaingia kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za kimataifa wakati kaka zake wa kule kwingine (Ibraah -KMW na Tommy flavour -Kings Music) hawajawahi hata kutajwa kwenye hipipo za hapo uganda tu...

Hii inatoa somo gani kwa hawa wamiliki wa lebel hizi mbili tunazoaminishwa kuwa ni kubwa kuwahi kutokea Afrika Mashariki?
 
AEAUSA na AFRIMA siyo TUZO.

Ni upumbavu tu ulioanzishwa na Wanigeria wanaoishi USA.

Hazina hadhi yeyote.

AEAUSA hazina tofauti na TUZO za Hbaba.

Tuzo za Music za sasa zenye hadhi ni Channel O, MTV Base, BET ( Siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).

Na hapa kwetu zilikuwa Tuzo zz Kili.

Huko kwingine ni upumbavu t
 
AEAUSA na AFRIMA siyo TUZO.

Ni upumbavu tu ulioanzishwa na Wanigeria wanaoishi USA.

Hazina hadhi yeyote.

AEAUSA hazina tofauti na TUZO za Hbaba.

Tuzo za Music za sasa zenye hadhi ni Channel O, MTV Base, BET ( Siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).

Na hapa kwetu zilikuwa Tuzo zz Kili.

Huko kwingine ni upumbavu t
Mkuu mbona kama una makasiriko? Shida ni nini jamaa yetu? Unajua hata kama zingekuwa zinatolewa na wewe cha kujiuliza ni kwanini hao wengine hawajatajwa?
 
Hii nchi wasanii walianza kuishiwa majina zamani sana.

Kuanzia siku watu walijiita Big Dog Posse na mtu alijiita MB dogg.

Sasa Mc voice ni nini?
 
AEAUSA na AFRIMA siyo TUZO.

Ni upumbavu tu ulioanzishwa na Wanigeria wanaoishi USA.

Hazina hadhi yeyote.

AEAUSA hazina tofauti na TUZO za Hbaba.

Tuzo za Music za sasa zenye hadhi ni Channel O, MTV Base, BET ( Siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).

Na hapa kwetu zilikuwa Tuzo zz Kili.

Huko kwingine ni upumbavu t
Watu wa buza mkishashiba makande mnatabu kweli kweli
 
Mkuu mbona kama una makasiriko? Shida ni nini jamaa yetu? Unajua hata kama zingekuwa zinatolewa na wewe cha kujiuliza ni kwanini hao wengine hawajatajwa?
Huwezi kutaja kila msanii kwenye nchi ambayo kila nyumba kuna msanii.

Tanzania hii wasanii hawafiki 10. Ukizima Instagram nchi hii, kuna wanaojiita wasanii unaweza usijue hata kama wanaishi.
 
AEAUSA na AFRIMA siyo TUZO.

Ni upumbavu tu ulioanzishwa na Wanigeria wanaoishi USA.

Hazina hadhi yeyote.

AEAUSA hazina tofauti na TUZO za Hbaba.

Tuzo za Music za sasa zenye hadhi ni Channel O, MTV Base, BET ( Siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).

Na hapa kwetu zilikuwa Tuzo zz Kili.

Huko kwingine ni upumbavu t
HILI POVU LA UJUAJI WA KIJITA UNAWEZA LOWEKA JINZI YA PHATFARM NA IKATAKATA
 
Vipi wajita wameshakupelekea MOTOOOOOO.

Ni shiiiida, utapasuliwa usijaribu tena.
Punguza makasiriko jomba... Basi kesho na sisi tutaandaa tuzo zetu huku buza kwa mpalange tutakunominate! Tukuweke kwenye kategori ngapi jomba
 
Punguza makasiriko jomba... Basi kesho na sisi tutaandaa tuzo zetu huku buza kwa mpalange tutakunominate! Tukuweke kwenye kategori ngapi jomba
Utapasuliwa mnooooo.

Usijaribu siku nyingine.
 
Tanzanian music needs pure promo and super branding Ili ujulikane nje

Never expect msanii kutoka kwa kiba awe nominated hata kwenye Tuzo za mtaani kwao
Dah! kiba kama zuchu tu, wote wapo kwny kategori mbilimbili... Naamini kiba anahitaji branding zaidi ili afike level ya rayvanny kimataifa kuliko kukomaa na label
 
Back
Top Bottom