Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivyoweka tu siyo kama viewers choice hapo nikatambua kaka hupendi wasafi kiujumla tu...AEAUSA na AFRIMA siyo TUZO.
Ni upumbavu tu ulioanzishwa na Wanigeria wanaoishi USA.
Hazina hadhi yeyote.
AEAUSA hazina tofauti na TUZO za Hbaba.
Tuzo za Music za sasa zenye hadhi ni Channel O, MTV Base, BET ( Siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).
Na hapa kwetu zilikuwa Tuzo zz Kili.
Huko kwingine ni upumbavu t
Kajisafishe kwamza ndio uje kutafuta MIJEGEJE ya Mwanamume.Mi unanfurahisha tu unavyojitangaza humu afu dizaini kama soko limekugomea... Babu sisi humu hatuli kota, katafute chaka jingine
Sometimes connection inakusaidia kukubeba, ila kwangu mimi msanii bora chipukizi kwa mwaka huu ni Lord Music.Majina ya wanaowania tuzo za Africa Entertainment Awards (AEAUSA) zinazotolewa huko marekani yimetoka. Moja kati ya vipengele katika tuzo hizo ni kipengele cha BEST NEW ARTIST ambapo to my great suprise nimekutana na jina la MACVOICE
Macvoice ana takiribani mwezi na siku kadhaa toka atambulishwe rasmi kama msanii mpya chini ya lebel ya NLM inayomilikiwa na Rayvanny.
Lakini cha kushangaza dogo keshaingia kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za kimataifa wakati kaka zake wa kule kwingine (Ibraah -KMW na Tommy flavour -Kings Music) hawajawahi hata kutajwa kwenye hipipo za hapo uganda tu...
Hii inatoa somo gani kwa hawa wamiliki wa lebel hizi mbili tunazoaminishwa kuwa ni kubwa kuwahi kutokea Afrika Mashariki?
Naam!AEAUSA na AFRIMA siyo TUZO.
Ni upumbavu tu ulioanzishwa na Wanigeria wanaoishi USA.
Hazina hadhi yeyote.
AEAUSA hazina tofauti na TUZO za Hbaba.
Tuzo za Music za sasa zenye hadhi ni Channel O, MTV Base, BET ( Siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).
Na hapa kwetu zilikuwa Tuzo zz Kili.
Huko kwingine ni upumbavu tu
Yes lakini unatambua kuwa hata uwe bora kiasi gani bila connection huezi toboa?Sometimes connection inakusaidia kukubeba, ila kwangu mimi msanii bora chipukizi kwa mwaka huu ni Lord Music.
Ndo maana tunashangaa inakuwaje wasanii toka lebo tunazoaminishwa ni kubwa kuliko NLM ya rayvanny inakuwaje hawapo ktk kategori hata moja?
You said it perfectly well, 'kwako' ndiyo unaona hivyo.Sometimes connection inakusaidia kukubeba, ila kwangu mimi msanii bora chipukizi kwa mwaka huu ni Lord Music.
Hizo tuzo za Wanaijeria wabeba mabox USA..hazina maana yoyote..wengi wenu hamjasafiri mkiona kitu nje ya nchi mnafikiri Cha maana..hata BET familia nyingi za kizungu hawatazami ni hivyo tu..Dah! kiba kama zuchu tu, wote wapo kwny kategori mbilimbili... Naamini kiba anahitaji branding zaidi ili afike level ya rayvanny kimataifa kuliko kukomaa na label
Ni kweli ila akipata ataweka kwenye CV yake na kuanzia hapo atajiita "Award winning artist" brand yake inakua maisha yanaendelea.AEAUSA na AFRIMA siyo TUZO.
Ni upumbavu tu ulioanzishwa na Wanigeria wanaoishi USA.
Hazina hadhi yeyote.
AEAUSA hazina tofauti na TUZO za Hbaba.
Tuzo za Music za sasa zenye hadhi ni Channel O, MTV Base, BET ( Siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).
Na hapa kwetu zilikuwa Tuzo zz Kili.
Huko kwingine ni upumbavu t
we hebu punguza kutukuza watu weupe wewe, BET ni black entertainment awards sasa unataka wazungu waziangalie hili iweje? Kwako mzungu ndiyo reference point ya kitu kizuri au ubora? Kwani kuna shida gani wabeba mabox wa kinijeria wakianzisha tuzo kwa kufuata misingi, haki, taratibu na kanuni kuwapata washindi? Au kwako kilicho bora ni kile kinachofanywa na tajiri na si masikini kama wewe? Tubadilike jaman ukiona msanii wako hayupo vijisababu visivyo na mashiko tuachane navyo.Hizo tuzo za Wanaijeria wabeba mabox USA..hazina maana yoyote..wengi wenu hamjasafiri mkiona kitu nje ya nchi mnafikiri Cha maana..hata BET familia nyingi za kizungu hawatazami ni hivyo tu..
Sizitaki mbichi hizi, stupid excuses wakati wahenga walinena asiyekubali kushindwa si mshindani.we hebu punguza kutukuza watu weupe wewe, BET ni black entertainment awards sasa unataka wazungu waziangalie hili iweje? Kwako mzungu ndiyo reference point ya kitu kizuri au ubora? Kwani kuna shida gani wabeba mabox wa kinijeria wakianzisha tuzo kwa kufuata misingi, haki, taratibu na kanuni kuwapata washindi? Au kwako kilicho bora ni kile kinachofanywa na tajiri na si masikini kama wewe? Tubadilike jaman ukiona msanii wako hayupo vijisababu visivyo na mashiko tuachane navyo.
Ndiyo hivyo tuzo zimeanzishwa na tunazikubali subir msimu ujao wasanii wako wanaweza kutajwa.Sizitaki mbichi hizi, stupid excuses wakati wahenga walinena asiyekubali kushindwa si mshindani.
Mi nakubaliana na tuzo through and through, ni kama trophies au medals kwenye sports.Ndiyo hivyo tuzo zimeanzishwa na tunazikubali subir msimu ujao wasanii wako wanaweza kutajwa.
Mbona umemtaja abdu kiba tu umemshau lavalava na queen darlin au hao wapika chai tu pale WCB?Mac Voice tracks zake zimesukumwa sokoni aggressively, na ndivyo Wapopo wanavyofanya pia. Ukiamua kumiliki record label pride iwe ni artist/artists wako kufanya vizuri, sasa wengine wana artists miaka ie:Abdul Kiba, lakini wapo pale alimradi paonekane kuna label na lengo I think ni mwenye label kujipaisha mwenyewe.
Kutumia muda na resources kwa ajili ya kumsogeza mbele artist ni wachache wenye moyo huo kwa dhati.
Haka katoto Mac Voice in two years time katakuwa kanawagaragaza baadhi ya wamiliki labels.
Tanzanian music needs pure promo and super branding Ili ujulikane nje
Never expect msanii kutoka kwa kiba awe nominated hata kwenye Tuzo za mtaani kwao
safi kabisa, uko sahihiMi nakubaliana na tuzo through and through, ni kama trophies au medals kwenye sports.
Hata kuwa nominated tu ni achievement, it's like being in a premier league. Mtu ambaye haja qualify kushiriki ligi anatoa wapi audacity ya kumcheka aliye qualify hata kama hajashinda trophy, to be nominated is a great achievement and to win the award is a recognition of someone's success.
Labda Queen though she by far bigger than Abdul Kiba lakini Lavalava artist ambaye yuko ndani ya top 10 most successful artist in Tz kwa wakati huu na si wa zamani, he is doing great.Mbona umemtaja abdu kiba tu umemshau lavalava na queen darlin au hao wapika chai tu pale WCB?