Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau pia suala la uhaba wa maji: na kama pengine unavyofahamu, imaginations za watu wengi ni kuwa kuna uwezekano wa vita kuu ya dunia itakayosababishwa na uhaba wa maji.wale wote ni survivals wa vita kuu ya nyuklia. dunia imekuwa jangwa na wanaishi kwa magenge na kuporana. yule immortan joe akawa kama anajifanya messiah na wale war boys wakawa wakimsujudu wakiamini anafunguo za kuzimu/peponi (valhalla). pia alijimilikisha wanawake warembo kama wakeze.
yule furiosa alikuwa na plan ya kuwatorosha hao wanaweke kwenda sehemu aliyowahi ishi utotoni. hardy ye alikamatwa pale mwanzoni na kufanywa blood bag kwa yule war boy mgonjwa. jamaa alikuwa blood group O. pia kullikuwa na magenge mengine kama wale bikers wa kwenye korongo, bullet farm, gastown na wale wana gari kama nungunungu.
kweli. maji ndiyo silaha alikuwa anatumia joe kucontrol watu. swala la vita ya maji naona haliko mbali. nikicheki ishu ya Misri na Nile. kuna documentary moja inaitwa water: blue gold inaelezea sana tatizo la maji.Umesahau pia suala la uhaba wa maji: na kama pengine unavyofahamu, imaginations za watu wengi ni kuwa kuna uwezekano wa vita kuu ya dunia itakayosababishwa na uhaba wa maji.
Zisizokuwa kama hiyo mad max. Nimejilazimisha kuiangalia zaidi ya Mara moja ila naishia katikati Mara zote.we zinakubambaga za vipi mkuu?
Ngoja Nitaangalia kesho ofsni huku nasoma maelezo yako maybe ntaelewa nikshindwa naangalia last Knights [emoji6] [emoji14] [emoji14]wale wote ni survivals wa vita kuu ya nyuklia. dunia imekuwa jangwa na wanaishi kwa magenge na kuporana. yule immortan joe akawa kama anajifanya messiah na wale war boys wakawa wakimsujudu wakiamini anafunguo za kuzimu/peponi (valhalla). pia alijimilikisha wanawake warembo kama wakeze.
yule furiosa alikuwa na plan ya kuwatorosha hao wanaweke kwenda sehemu aliyowahi ishi utotoni. hardy ye alikamatwa pale mwanzoni na kufanywa blood bag kwa yule war boy mgonjwa. jamaa alikuwa blood group O. pia kullikuwa na magenge mengine kama wale bikers wa kwenye korongo, bullet farm, gastown na wale wana gari kama nungunungu.
Aisee
Kumbe tupo wengi tuliokamatika na hii movie!
Effects zake si mchezo. Pale kwenye dusty cloud effects zake loh!
jamaa wakauzu sana mule. wanafanya blood tranfusion kutoka kwa mtu aliye hai! line nnayoipenda mle ni jamaa anayesema " am the scales of justice, the conductor of the choir of death". hapo kapofuka macho lakini hajali.My best movie of 2015.....what a piece of art!!
Hiyo ni seriesmkuu hii ni movie au series?
Hapo kwenye water world umenigusa naipenda balaaMad max ni level za Pirates of Caribbean au Water world...au Apocalipto
I live, i die i live againMy wives my property
You stole my wives .
Hahahhahahahhaah
That's my favorite line in that movie .
I have to say best movie 2015 for me -🙂
Mkuu kuna nyingine za dizaini ya hizo unitajie mkuuMad max ni level za Pirates of Caribbean au Water world...au Apocalipto
Troy..The Fury..World war Z hizi za Brad Pit ila hazijafikia hizi hapo juuMkuu kuna nyingine za dizaini ya hizo unitajie mkuu
Thnxs mkuu, Troy nimeshaichek, ngoja nipakue hizo nyingine mkuuTroy..The Fury..World war Z hizi za Brad Pit ila hazijafikia hizi hapo juu